Majibu ya Jux alipoulizwa kama ana mpango wa kumuoa Vanessa au kuzaa nae

mwenye maamuzi katika mapenzi hasa kuolewa/ kuzaa ni mwanammke
labda jux anataka kumuoa au kuzaa
lakini vanessa alishahojiwa akasema kuwa hahitaji kwa sasa hivo vitu..
kwahiyo ilimradi jux mzigo akiutaka anaula
waache waendelee tu kama navykenzo
....

ujue sisi wanawake tunasababisha tusiolewe sana..
maana unakua na bwana
akitaka papuchi anapata anytime bila vikwazo mradi kakununulia les wig na lipstc ya kylie unaonekana mitandaoni .. haina shida..!!!

wanaume wangekua hwapati papuchi kirahisi , tukawakazia
naamini saivi kila mtu angekua na mmewe.
 
Kweli, ila pia huyu Jux naona kakaa kwa ajili ya kupoteza muda ili kifaa chake kitoke huko Macau
 
Kama hawezi kubeba mzigo akae pembeni, sio anakaa mlangoni tu, nje atoki ndani aingii anawaharibia watu timing zao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120]
 
mke halali ya jux kafungwa china,huo ukuni nani ataoa?
 
Bwana Juma hana "SAY" wa kuulizwa swali hilo ni VEE....kijana kwa VANNESA ni kama anaonewa huruma tuu..anasafiria NYOTA...so ni kama MARIOO wengine....kubashiri mahusiano yake siku za usoni....ni ngumu kama ubashiri wa mechi ya EL-Classic...
Mkuu Hapa mjini wote tunajua Vanessa sio size ya Juma...Vanessa ni demu wa kawaida ile mbaya kwa mademu viwango ambao Juma amekuwa akiwagonga..

Huyu Vanessa ni Over-rated ila ni demu wa kawaida ile mbaya make up kama bibi harusi,Mfupi hata akivaa viatu vya mchuchumio...sasa kwa taarifa yako Juma ndio Anamstili Vanessa kama unabisha ngoja Jack atoke Jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…