Wewe unapozungumzia futbol inabeba mambo mengi sana yakiwemo hayo, sasa sijui unabeza nini. Fuatilia ligi ya sauzi afurika utaona sasa walivyorogwa na huo udambwidambwi, bai ze wei kila ligi inatengeneza utofauti wake ko usitupangie cha kupenda SOKA LETU KIVYETUVYETU.