MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
- Thread starter
- #21
Inaelekea figo kweli ni nzima ila sasa hiyo Calcification ndio inaweza kuwa imesababisha yote haya, endelea na uchunguzi hasa ni vizuri kama watachukua Biopsy kutoka kwenye hiyo Calcification na majibu yake yatatoa mwanga wa matibabu, KCMC na Muhimbili ni wazuri sana kwa magonjwa kama haya ..Au kamwone Dr Mbwambo private Hospital (Moshi) na ni mzuri sana kwa mikojomikojo
Kwa Dar Ni Dokta Gani?