Majibu ya Mmiliki wa FB dhidi ya Trump

Majibu ya Mmiliki wa FB dhidi ya Trump

Chillah

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2016
Posts
8,870
Reaction score
10,066
Mark1.PNG
Mark2.PNG
 
Mkuu umechelewa, hii ilikuwa September mwaka jana. Sasa hivi tunaongelea serikali ya Magufuli na wavaa milegezo, usiturudishe nyuma.
 
Mkuu wavaa milegezo tushawaacha leo tuko na tukio la majambazi walio enda iba wakiwa na bendera ya chadema
vioja haviishi


Kiini macho, majambazi hawajaiba na wala hawakukamatwa ila wameacha bunduki na bendera ya CHADEMA, subiri matokeo unaweza kuambiwa ni bunduki inayotumika kumshambulia Tundu Lisu, nchi hii we acha tu.
 
Back
Top Bottom