ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Ni hivi juzi nilienda hospital kwa dhumuni la kujua afya yangu.
Ajabu nilivyochukuliwa damu tayari kwa kipimo nesi yule alichukua muda mrefu kunipatia majibu hali iliyopelekea kuingiwa na hofu labda majibu hayako mazuri na nesi anatafakari jinsi ya kunifikishia.
Baada ya muda mrefu akaniita na kunipatia majibu yangu kua ni negative virology. Nikafurahi lakini nilishindwa zuia dukuduku langu. Nikamuuliza ilikuaje alichukua muda mrefu mpaka nikapatwa wasiwasi akanijibu. Ilichukua muda mpaka kupata majibu ya jumla mana kuna kipindi kipimo kinasoma positive halafu ukirudia tena kinasoma negative.
Hapo ndio nilipatwa na utata.
Hebu wataalam nijuzeni ndio kawaida hii kipimo cha hiv kuleta majibu dizaini hii?
Ajabu nilivyochukuliwa damu tayari kwa kipimo nesi yule alichukua muda mrefu kunipatia majibu hali iliyopelekea kuingiwa na hofu labda majibu hayako mazuri na nesi anatafakari jinsi ya kunifikishia.
Baada ya muda mrefu akaniita na kunipatia majibu yangu kua ni negative virology. Nikafurahi lakini nilishindwa zuia dukuduku langu. Nikamuuliza ilikuaje alichukua muda mrefu mpaka nikapatwa wasiwasi akanijibu. Ilichukua muda mpaka kupata majibu ya jumla mana kuna kipindi kipimo kinasoma positive halafu ukirudia tena kinasoma negative.
Hapo ndio nilipatwa na utata.
Hebu wataalam nijuzeni ndio kawaida hii kipimo cha hiv kuleta majibu dizaini hii?