Majibu ya Roma Mkatoliki juu ya kwanini haandamani wala kukemea unyanyasaji wa Mtu Mweusi

Majibu ya Roma Mkatoliki juu ya kwanini haandamani wala kukemea unyanyasaji wa Mtu Mweusi

Singidan

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
881
Reaction score
942
Nukuu: "mtangazaji kanipgia simu kuniuliza, Roma kwanini hatukuoni Ukiandamana au Ukikekemea Mtandaoni yanayoendelea Marekani Kama wafanyavyo wasanii wenzio was bongo?(Black lives matter).
NikamjibušŸ‘‰ Ninapokemea ya Tanzania siwaonagi Hao wasanii wakikemea Kama Mimi. So ni zamu yao now. KakataSimu, Y?"


Mimi: Roma ametoa majibu mazuri yenye swali chikonozi. Kwa asilimia kubwa inawezekana Roma ametumia lugha ya mficho na inawezekana kabisa hakuna mtangazaji aliyempigia simu ila kwa kuwa yeye n msanii na ana uwezo wa kutumia fasihi kufikisha ujumbe kwa hadhira Basi ujumbe umefika.

Nami nawauliza wanaJF,

Je, Ni kweli wakati Roma anakemea ya Tanzania huwa wasanii wengine hawakemei?
 
Hata mimi naona unafiq aliuliwa mwangosi, akwilina hadharani hakuna cha msanii wala nani? Leo auliwe mmarekani nisikie uchungu wala...

Wakati mwangosi alifumuliwa utumbo ma akwilina hadharani aliuliwa na polisi then hukumu ikaend kwa kina Mbowe.
 
Watu wa Afrika tuna shobo sana sisi tuna shida zetu hao mablack hata hawanaga time na sisi. Ni mara chache au nadra kabisa kusikia hata hao maceleb waafrika wakitoa misaada kwa afrika unless wawe mabarozi tu.

Kila mtu apambane na hali yake mbona hatukemei polisiwanavyotudunda bongo tukimbilie ya USA.
 
Hata mimi naona unafiq aliuliwa mwangosi, akwilina hadharani hakuna cha msanii wala nani? Leo auliwe mmarekani nisikie uchungu wala...

Wakati mwangosi alifumuliwa utumbo ma akwilina hadharani aliuliwa na polisi then hukumu ikaend kwa kina Mbowe.
😁😁😁
 
Sisi watu weusi tunaoishi Africa tunawaona wale weusi wanaoishi marekani na ulaya ni ndugu zetu lakini kwa bahati mbaya wao hawatuoni sisi km ni ndugu zao au wenzao wanatuchukulia km watu duni tena black wa marekani bora umuite nigga kuliko kumuita muafrika mtagombana,
 
Sisi watu weusi tunaoishi Africa tunawaona wale weusi wanaoishi marekani na ulaya ni ndugu zetu lakini kwa bahati mbaya wao hawatuoni sisi km ni ndugu zao au wenzao wanatuchukulia km watu duni tena black wa marekani bora umuite nigga kuliko kumuita muafrika mtagombana,

Ndio asili yetu, mkuu. Hata Africa tunabaguana kwa makabila, makazi, hadhi, elimu, n.k. Hapo mwisho umechemka boss.
 
Roma kajibu vizuri sana,
Kuna Uzi humu unaonyesha wachezaji wa Simba wamechora sijui herufi gani eti nao wanajifanya kuonyesha kupinga mauaji Ya Floyd,nikajiuliza wameuawa watu wangapi hapa nchini kwetu na polisi hatujawahi kuwasikia au kuwaona wakikemea,Ni unafiki wa hali ya juu
 
Roma ktk harakati zake, namuelewa San huyu Ivan's daddieeh
 
Kwa hiyo anajiona ye msanii mkubwa saana kiasi cha kukemea mauaji ya marekani na akasikilizwa au sio?
 
Back
Top Bottom