Majibu ya Roma Mkatoliki juu ya kwanini haandamani wala kukemea unyanyasaji wa Mtu Mweusi

Roma akaandamane Marekani kwani ana ukaaji halali wa Marekani.
Ukiwa raia Ruksa lakini upo upo tu usijidanganye

Maandamano sio ya kila mtu kwenye nchi za wenyewe. Kama hujui sheria utajikuta nawe upo barabarani. Sheria moja muhimu ya uhamiaji popote duniani epuka maandamano kwani kuandamana kwako kutakutia doa kwenye upatikanaji wa ukaaji

Roma anatambua hilo ndio maana anajibu kimzunguko fulani hivi.
 
Na akigundua una kadi ya ccm ndio anakumaliza muda huo huo
 
Hata mimi naona unafiq aliuliwa mwangosi, akwilina hadharani hakuna cha msanii wala nani? Leo auliwe mmarekani nisikie uchungu wala...

Wakati mwangosi alifumuliwa utumbo ma akwilina hadharani aliuliwa na polisi then hukumu ikaend kwa kina Mbowe.
Billnas alienda hadi kumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…