Majibu ya rufaa yangu baada ya kufukuzwa kazi serikalini

USHAURI wangu tafuta wakili rafiki akupe USHAURI wa kisheria.

Huduma za kumuona wakili huwa ni 10,000- 20,000/ kumuona na kukupa USHAURI. Consultation fees

Hapa utapata USHAURI ambao utakuwa wa. Kihisia na siyo wa kisheria.

Suala lako linahusu vifungu vya kisheria.

Mfano, Hiyo hukumu wanasema "

ikaanzishwe upya kwa Kuzingatia taratibu"

Hapo Kuna shida👆

Inaamana mashitaka ya mwanzo yalikiuka hizo taratibu,
Na kama yalikiuka hizo taratibu walitakiwa kujifuta kesi na siyo kutoa agizo wakailete upya.

Wao wahusika (Mkuu wa shule alipaswa ) kama wasingeridhika na hukumu walipaswa wakate RUFAA.

Sasa kwa hukumu hiyo ya kuwataka wakarekebishe ili kesi uendelee maana yake hii ya kwanza umeshinda kwa kigezo cha kuwa hawakufuata Sheria.

Sasa wakienda KUIREKEBISHA hiyo dosari wakaileta upya Kuna mawili

Ushahidi ukiwa upo wa kutosha uutashindwa kesi.

Au ushahidi ukiwa hafifu utashinda kesi.
 
Je kwa Mtumishi aliyeshinda kesi tume ya Utumishi arudishwe kazini, Mwajiri hajaridhika kakata rufaa Ofisi ya Rais, je huchukua muda gani majibu kutoka? Na je Maamuzi ya Tume ya Utumishi yanaweza tenguliwa?
 
Sijawahi hata kumtongoza mtoto ninayetuhumiwa naye. Hata mara ya kwanza walitumia ushahidi wa kulazimisha Tena kwa nguvu mpaka za polisi
Usirudie Tena kutaka watoto wa shule hata kuwakonyeza! Utakuwa kulikuwa una utani na huyo mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…