mallebo johnny
Member
- Jul 15, 2014
- 23
- 3
tutumie basi kaka mana m account yangu inanambia eti sijafanya apllication na niapply second round
M nimepata kwanzia A-C
>>dah hta mimi nimeambiwa cjafanya selection ila tear imeshakaa sawa,nahis walikua wanarekebisha mambo tu.
>>pia wameweka SECOND ROUND SELECTION,sas kwa wenyekujua watuelekeze kuhusu hii,kma tunatakiwa kuomba or not!
dah mimi link ya selection program haionekan kaka af wanadai sijafanya application na wamenipa eti second application
umetumiwa lini wapi na nani?
Mmh nimeambiwa you have not done any application