jaman niliingia kweny prof yangu nikaambiwa you have not done application
ila baada ya dk km 20 hv nikafungua tena.
kweny selected status kuna not yet processed
na Met min requirement kuna PROCESSED.
Inanchanganya ndo nn.
na wale wenzangu mloambiwa hivyo jarbuni tena kuingia kweny profile zenu.
hata nami nimeona PROCESSED!!. hawa TCU kila mwaka wanabadili misamiati bila kutoa ufafanuzi mwaka jana walikuwa na ELIGIBLE!!
wataalam watudadavulie.
huenda sijui wana maana wamesha cheki sifa - sasa je zinakubalika au hazikubaliki?? TCU pls wake up!!
hapo ndo sielew ndg yangu.
ila mm sasa hv kwenye selection status wameweka IN PROGRESS
Uko sahihi mkuu.Ukikuta approved tayari ushapangiwa chuo Xo subirini official date 22/9