Majibu ya TCU bado hayajatoka?

Yes ndivyo ilivyo so hiyo ni dalili kwamba majibu au aellection zitafanyika mapema mwezi wa tisa
Tuwe wapole my fellow applicant
 
Yes ndivyo ilivyo so hiyo ni dalili kwamba majibu au aellection zitafanyika mapema mwezi wa tisa
Tuwe wapole my fellow applicant

jaman wadau m nilimaliza mwaka jana ila nikapata chuo hapo mlimani coz sociology ila nikanyimwa mkopo nikaamua kuacha.sasa nimeomba tena mwak huu education na nimechagua vyuo kama UDSM,UDOM,SAUT,DUCE NA RUAHA NINA POINT 5 VP KUNA UWEZEKANO WA KUPATA HATA CHUO KIMOJA KATI YA HIVYO WADAU
 
j3 uki login utakutana na neno yes kama umekidh viwanga au no kama hukukidh viwango..hayo maneno yatakuwa hapo kwenye hayo maneno checking in progress
 
j3 uki login utakutana na neno yes kama umekidh viwanga au no kama hukukidh viwango..hayo maneno yatakuwa hapo kwenye hayo maneno checking in progress

j3 una maana ya juma tatu au ni jina la mtu mkuu
 
j3 uki login utakutana na neno yes kama umekidh viwanga au no kama hukukidh viwango..hayo maneno yatakuwa hapo kwenye hayo maneno checking in progress

Hii itakuwa kwa kila chaguo ulilofanya?ikiwa kote unavigezo?Na ambapo ukukidh vigezo chaguo linatenguliwa?
 
LEOnmetumiwa txt et kun mbdiliko kweny fomu zetu et ili kujua umekdh vigezo unaandkiwa met min requirement sasa ipo shmu gan kweny ile fomu kwa waloangalia.?
 
j3 uki login utakutana na neno yes kama umekidh viwanga au no kama hukukidh viwango..hayo maneno yatakuwa hapo kwenye hayo maneno checking in progress

asante pia.

nauliza je kama hakukidhi may be alikosea na hakugundua je kuna time frame ya ku apply tena ili kutimiza idadi ya selection zinazotakiwa.
 
Eti ukiona TCU wameandika hivi 0 eligible au 9 eligible au 1 eligible ile sehemu ya idadi ya watu wanamanisha nini?
 
Maana yake ni kuwa umetimiza vigezo kwenye idadi ya course zilizoandikwa. Eg 0 eligible maana yake hakuna course uliyotimiza vigezo.
 
Thankx xanaa mara ya kwanza nilijaza code ya imtu ikakubari nikatoa bt cku nyingne nilivyo weka tena ikaniandikia code co sahihi nihakikishe tena hadi leo inaandka hvyo so tatizo n nn
 
Jamani, nili apply tcu mapema sana mwezi huu wa8, ila mpaka sasa niki ingia kwenye akaunti ..naambiwa not aproved, na niki ingia my prfile kwenye coz ,ina sema check in progress..pia not yet prossesed..ushauri wadau jamani kwani tme imeishaa!!
 
Usiwe na Chapuchapu mda bado ikifika juma Tatu Login itakuwa imebadilika sahzi mda bado mana mtu hata mda huu anaweza Apply.
 
Thankx xanaa mara ya kwanza nilijaza code ya imtu ikakubari nikatoa bt cku nyingne nilivyo weka tena ikaniandikia code co sahihi nihakikishe tena hadi leo inaandka hvyo so tatizo n nn

Hii eligible or legible unaiona sehemu gani katika profile yako....msaada!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…