Baba Genovivah
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 756
- 249
NYONGEZA: kama umechaguliwa UDOM andaa kabisa Tsh. 287000 ya direct costs maana bila hyo unakuwa hausajiliwi na unaweza kukosa chuo ama kughairisha masomo.
yani kumbe kuna people hata uchumi wa laki 5 kwa mwaka home unazingua?