Majibu ya Uchunguzi wa binti aliyebakwa, inaumiza sana lakini inabidi tuzoee

Majibu ya Uchunguzi wa binti aliyebakwa, inaumiza sana lakini inabidi tuzoee

Ngengemkenilomolomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
270
Reaction score
450
Wakuu,

Kutokana na majibu ya uchunguzi wa kesi ya binti aliyelawitiwa na kubakwa kikatili kutolewa leo ni wazi kabsa kwamba hapa hakuna kesi wala hakuna atakaye fungwa kwa kesi hii

Wanaweza kutolewa wahuni mahabusu wakafunikwa na vitenge vichwani tukaambiwa ndo hawa tumewakamata
Inaumiza sana lakini ndo hvo survival for the fittest

Anko angekuepo haki iketendeka sawasawa na inavotakiwa

Naamini wengi wetu tumeumizwa sana na majibu marahisi yaliyotolewa lakini hatuna budi kunyanyuka kujikung'uta vumbi na kuchanganya mbaliga zetu kurudi makwetu huku tumeinamisha vichwa vyetu kwa majonzi na masikitiko
Kwakua binadamu ameshindwa kutoa haki basi tumuachie Mungu
 
Watu walivamia kituo cha TV na silaha. CCTV zikawarekodi na zikarushwa. Wahusika hawakuchukuliwa hatua.
Lile lilikuwa ni igizo lililotayarishwa na kituo husika ili kupima utayari wa wafanyakazi na kampuni za uokoaji endapo tukio halisi litatokea.
 
Sheria duniani, lakini haki mbinguni.

Mwanadamu wa sasa amejawa na tamaa, udhalimu na rushwa, usitegemee haki hapo. Ndio maana sio kila aliyeko jela basi ana hatia.
 
Pengine ni kweli

Cha muhimu vijana wanafikishwa mahakamani.
 
Nchi inakabiliwa na mambo lukuki, kwa mfano watu kupiga pesa, watu kupotezwa na kutekwa, lakini hutasikia mtu majority wanademand haki za binadamu, au kukemea kwa wingi.
Irrationality and insanity
 
Wakuu,

Kutokana na majibu ya uchunguzi wa kesi ya binti aliyelawitiwa na kubakwa kikatili kutolewa leo ni wazi kabsa kwamba hapa hakuna kesi wala hakuna atakaye fungwa kwa kesi hii

Wanaweza kutolewa wahuni mahabusu wakafunikwa na vitenge vichwani tukaambiwa ndo hawa tumewakamata
Inaumiza sana lakini ndo hvo survival for the fittest

Anko angekuepo haki iketendeka sawasawa na inavotakiwa

Naamini wengi wetu tumeumizwa sana na majibu marahisi yaliyotolewa lakini hatuna budi kunyanyuka kujikung'uta vumbi na kuchanganya mbaliga zetu kurudi makwetu huku tumeinamisha vichwa vyetu kwa majonzi na masikitiko
Kwakua binadamu ameshindwa kutoa haki basi tumuachie Mungu
Sasa ungeweka majibu then ndio uande kulalamika ..ukilalamika sisi wengine hatujui hayo majibu yanasemaje!
 
Back
Top Bottom