Majibu yanayoniboa ninapochat na mtu kwenye simu

Wa2 tk na manbo mng ha2na mda wa kucht cht ,hy n njia y2 ya kkjlxha 2k bz! Damn nimejaribu mimi mwenyewe naona shida
 
Pole, hizo ni tabia za wanaoanza kushika simu karibuni (watoto) so wakikua wataacha.

kuwa mvumilivu
 
Ukiwa muelewa vitu vidofo kama hivyo haviwezi kukupa shida kwenye maisha yako.

Unauhakika gani kama wewe upo sahihi kwa huo uandishi.

Na ukiona mtu amekujibu hivyo inatakiwa ujichunguze wewe mwenyewe kwanza
 
Hivi hiyo mad😡mad😡mad huwa ina maana gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…