Majibu yangu Tukuka kwa wale Wanaonishambulia kwa Kumsema Mjane wa Mzee Mkono na Bintiye Mkubwa Leah

Majibu yangu Tukuka kwa wale Wanaonishambulia kwa Kumsema Mjane wa Mzee Mkono na Bintiye Mkubwa Leah

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Hamna mnachokijua hivyo tulieni tuli

2. Tayari Uzi umeshasomwa na Bi. Mkubwa

3. Nimepongezwa kwa Kulisemea hili kuliko mnavyonichukia

4. Kuanzia leo jitihada za haraka zitafanywa na Mwili kuletwa upesi

5. Uzi huu utakuwa ni Fundisho kwa Wamama Wengine

6. Najiona ni Mshindi wa Vita hii Ngumu na ya Hatari

7. Mwambieni Leah wenu kuwa niliyoyaandika hapa ni 50% na akinitibua kwa Kushirikiana na Mama yake nitasema na lile Moja kubwa la kwa Mganga kule Sumbawanga walikopelekwa na Mbunge mmoja sasa si Mbunge tena ili Wamwaribu Marehemu wa Watu na wafanye yao.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
7. Mwambieni Leah wenu kuwa niliyoyaandika hapa ni 50% na akinitibua kwa Kushirikiana na Mama yake nitasema na lile Moja kubwa la kwa Mganga kule Sumbawanga walikopelekwa na Mbunge mmoja sasa si Mbunge tena ili Wamwaribu Marehemu wa Watu na wafanye yao.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Sasa mbona tayari umeishasema tu
 
Nilikuambia uende Muhimbili wakuchunguze kwanini una jinsia mbili kitaalamu tunakuita Hermaphrodite.
transgender-gives-birth.jpg
 
Dogo unapenda sana sifa za kijinga. Usikute hata hiyo familia yenyewe ya marehemu wala haijishughulishi na hizi porojo zako humu.
 
Back
Top Bottom