GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Hamna mnachokijua hivyo tulieni tuli
2. Tayari Uzi umeshasomwa na Bi. Mkubwa
3. Nimepongezwa kwa Kulisemea hili kuliko mnavyonichukia
4. Kuanzia leo jitihada za haraka zitafanywa na Mwili kuletwa upesi
5. Uzi huu utakuwa ni Fundisho kwa Wamama Wengine
6. Najiona ni Mshindi wa Vita hii Ngumu na ya Hatari
7. Mwambieni Leah wenu kuwa niliyoyaandika hapa ni 50% na akinitibua kwa Kushirikiana na Mama yake nitasema na lile Moja kubwa la kwa Mganga kule Sumbawanga walikopelekwa na Mbunge mmoja sasa si Mbunge tena ili Wamwaribu Marehemu wa Watu na wafanye yao.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
2. Tayari Uzi umeshasomwa na Bi. Mkubwa
3. Nimepongezwa kwa Kulisemea hili kuliko mnavyonichukia
4. Kuanzia leo jitihada za haraka zitafanywa na Mwili kuletwa upesi
5. Uzi huu utakuwa ni Fundisho kwa Wamama Wengine
6. Najiona ni Mshindi wa Vita hii Ngumu na ya Hatari
7. Mwambieni Leah wenu kuwa niliyoyaandika hapa ni 50% na akinitibua kwa Kushirikiana na Mama yake nitasema na lile Moja kubwa la kwa Mganga kule Sumbawanga walikopelekwa na Mbunge mmoja sasa si Mbunge tena ili Wamwaribu Marehemu wa Watu na wafanye yao.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!