Elections 2010 Majimbo 21 yatakayochukuliwa na CHADEMA kabla ya oct 31

Uchambuzi ambao sio wa kuvutia kamba kwako kama huu ndio unatakiwa hapa.Haya mambo ya watu kuongeza chumvi baada ya tarehe 31 oct watapiga ukunga hapa.Ukweli unauma lakini ni vizuri kuelewa ili watu waweze kuongeza bidii.

Kwa mfano jimbo la Arusha Mjini kulichukuwa kutoka kwa ccm sio raisi na mara nyingi limekuwa alitabiriki kiraisi hivyo, kueleza ukweli itasaidi kwa wale walioko Arusha ambao wanapenda mageuzi kufanya kampeni kwa bidii.
 
wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa chadema
 
Mwana sheria Tambwe Shitambala wa Jimbo la Mbeya vijijini,kama mambo yatabaki na kwenda hivi hivi yalivyo sasa basi atashinda kwa kura nyingi dhidi ya incumbent Mchungaji Mwanjali
 

Mbona Handeni hujaweka Kigoda yuko ICU...
 
Nyie jipeni tu moyo na tathimini zenu za kuangali watu wanavyojaa ktk kampeni.
Nakuhakikishieni ccm walisha maliza kazi wakati wa kujiandikisha.
 
Katika hii list ongeza jimbo la msoma mjini. Huyu Mathayo wa CCM ashakubali kushindwa na dogo Nyerere. Alafu dogo anakubalika ile mbaya.
 
Moshi Mjini umeacha wapi? Rombo Umeacha wapi? Nyamagana umeachaje?
 
Hivi hata Jimbo la Korogwe vijijini mnataka kumwachia mpiga ramli na mchawi? Hawa ndio marafiki wa CCM. ( Waganga wa kienyeji)
 
Zitto asipopita ni sawa tu ili ajue kuwa yeye sio maarufu kuliko chama chake na pia ni vizuri akawa na msimamo. Ameusaliti upinzani. Atakuwa mgeni wa nani?
 
Nimekuwa nikiona kama huyu ameondoka upinzani na bado hajaweza kujionyesha wazi. Ni wa kuangalia.
 

kwani tumefika hiyo 31 hadi huyo mhariri aropoke kuwa dk slaa si rais wa 5 wa tz? Na wewe utumie fikra
 

Afadhali angetabiri majimbo yatakayochukuliwa na CHADEMA baada ya uchaguzi, tungejua anamuunga mkono Sheikh Yahya katika fani.

Yeye anakwambia "Majimbo 21 yatakayochukuliwa na CHADEMA kabla ya oct 31" sasa sijui ana maan majimbo yatachukuliwa kwa process gani ikiwa uchaguzi wenyewe ni Oct 31 na majimbo yatachukuliwa kabla ya Oct 31.
 
hapo kwenye red aisee sijaona upinzani zaidi ya sisiem kwa kweli, bado upinza hauna kasi kama sehemu nyingine wakuu
 

Haya mambo yanataka basis au vigezo. Labda mimi nikusaidie kuwa basis yako ni kuzomewa kwa wagombea ubunge wa CCM, si ndiyo? Na kushangiliwa wale wa CCM walioenguliwa kwenye kura za maoni!
 
Kweli mkuu hili jimbo kalisahau hali ya CCM kule Mbeya ni ya kukatisha tamaa maana Chadema wanakunywa mpaka uji wa mgonjwa
Niko mlandizi naelekea Mbeya, Riport kamili ya majimbo ya Mbeya mjini,Vijijini,Rungwe Mashariiki,Kyera ntawapa bila kuchakachu! Leo ntakutana na Mr 2!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…