Pawa chilonda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 356
- 418
- Thread starter
-
- #21
Tanga hakuna Ganda la ndizi subiria mkuu kwani unafiri sisi wananchi hatuna uelewa wa kinachoendelea.Mmmm number 27 sio kweli..Watu wa Tanga watampa Ummy.Yule Mbunge wa upinzani amezingua sana,hawataki tena upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa mkuu mnatembea na MALORI ya mizigo na matrekta ya mpunga! Hahaaa walionekana wanafunzi wa shule za misingi CCM KIRUMBA wakishuka kwenye mabasi.Wewe bado uko kwenye KUSIKIASIKIA!!!??? Na ndio maana mnafelishwa na habari za udaku hizo
Wenzenu hawafanyii kazi habari za kusikiasikia, wanafanyia kazi habari kamili zenye uthibitisho wa kisayansi
Henry SHEKIFU anajua kilotukia 2015 alipata presha na akajiandae 2020 pamoja na kusomba watu kwenye MALORI Leo Tanga Ummy arudi Special seatMmmm number 27 sio kweli..Watu wa Tanga watampa Ummy.Yule Mbunge wa upinzani amezingua sana,hawataki tena upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakaa nyumba ya vioo mkuu nakukumbusha!
Mkuu Jimbo la Hai na Moshi mjini Imani za watu zenyewe zinajulikana unaweza kusomba watu kwenye MALORI ila huwezi somba imani zao
Kutembea na MALORI kama hivi eee, Chadema mna uzushi sanaHahaaa mkuu mnatembea na MALORI ya mizigo na matrekta ya mpunga! Hahaaa walionekana wanafunzi wa shule za misingi CCM KIRUMBA wakishuka kwenye mabasi
NI JUKUMU LA WATANZANIA KUWAFUNDISHA NAMNA YA KUTUONGOZA! WANATUDHARAU SANAHaya maisha yalivyokuwa magumu hivi kwa sababu ya mtu mmoja kuamuwa kutoshirikisha sector binafsi kwenye miradi ya maendeleo na watu kuishi kwa mlo mmoja sioni ni kwa jinsi gani majimbo ya mijini CCM watashinda labda kwa kuiba kura lakini mtanzania mwenye akili timam hawezi kuwapigia kura CCM na wao wanafahamu kuwa bila wasanii wasingempata mtu kwenye kampeni zao washukuru hayo majimbo waliyopewa na NEC ingekuwa aibu kubwa sana kwa chama tawala.
Asilimia kubwa digital propaganda zinawatia upofu sanaHuwa najiuliza, hivi watu wanaotegemea Tundu kuwa rais wanaishi mitaa hiihii ya Tanzania kama mimi??
Nawashauri watoke huku jf wakapate hali halisi kuhusu ushindi John Pombe Magufuli toka kwa wanachi
KAMA hiviKutembea na MALORI kama hivi eee, Chadema mna uzushi sanaView attachment 1568113
Fuatilia na uje utuambie kilichomtokea mwenyekiti wa CDM, NI AIBU TUPUHai kwenye Nini mkuu Ole sabaya anajisumbua Mbowe katunzwa mioyoni mwa wana Hai
Makamanda kwa kujipa moyo hawajambo...ila ukweli wanaoHuwa najiuliza, hivi watu wanaotegemea Tundu kuwa rais wanaishi mitaa hiihii ya Tanzania kama mimi? Nawashauri watoke huku JF wakapate hali halisi kuhusu ushindi John Pombe Magufuli toka kwa wanachi.
Huu ukabila bado mnao karne hii!!🤭KABISAA WAMEPELEKA MSIMBITI
Jimbo la mwana FA kuna mdada m Chadema machachari sana. Muheza huko. Mwanaa FA kazi anayo hachomoki.Wakuu napenda kutuma salamu kwa wakuu
Kwa tathmini iliyofanyika mpaka sasa, yafuatayo ni majimbo baadhi ambayo CCM kifo cha mende kama uchaguzi ungefanyika leo:
1. NYAMAGANA - Hili Jimbo mbunge huwa ni ngumu kurudi awamu ya pili, mfano ni Steven Mtabakazi, Lau Masha na Ezekia Dibogo Wenje taarifa wanazo.
2. TABORA MJINI ni kama nyamagana, Mwakasaka nakupa salamu
3. HAI
4. KARATU
5 ARUSHA MJINI
6 UKEREWE
7. MAGU ( VUGUVUGU HAWAMTAKI MGOMBEA WA KAMATI KUU)
8 SINGIDA MJINI ( HATAKIWI MWL MUSSA
9 MBEYA MJINI
10 TUNDUMA
11. UBUNGO
12. KAWE
13. HANANG
14. SINGIDA KASKAZINI (NYALANDU ATAMPIGA YULE RAMADHANI IGHONDO YULE WA DR ULIMBOKA)
15. MOSHI MJINI
16. KIGOMA MJINI
17. TUNDURU
18 KILWA MAJIMBO YOTE
19. BUNDA
20. TARIME VIJIJINI
21. MUSOMA MJINI
22. ROMBO
23. LINDI MJINI
24. MASASI
25. IRINGA MJINI
26. NANYAMBA
27. TANGA MJINI
28. SIHA