Uchaguzi 2020 Majimbo ambayo CCM haitoboi

Uchaguzi 2020 Majimbo ambayo CCM haitoboi

Wewe bado uko kwenye KUSIKIASIKIA!!!??? Na ndio maana mnafelishwa na habari za udaku hizo

Wenzenu hawafanyii kazi habari za kusikiasikia, wanafanyia kazi habari kamili zenye uthibitisho wa kisayansi
Hahaaa mkuu mnatembea na MALORI ya mizigo na matrekta ya mpunga! Hahaaa walionekana wanafunzi wa shule za misingi CCM KIRUMBA wakishuka kwenye mabasi.
 
Mkuu Jimbo la Hai na Moshi mjini Imani za watu zenyewe zinajulikana unaweza kusomba watu kwenye MALORI ila huwezi somba imani zao

Haya maisha yalivyokuwa magumu hivi kwa sababu ya mtu mmoja kuamuwa kutoshirikisha sector binafsi kwenye miradi ya maendeleo na watu kuishi kwa mlo mmoja sioni ni kwa jinsi gani majimbo ya mijini CCM watashinda labda kwa kuiba kura lakini mtanzania mwenye akili timam hawezi kuwapigia kura CCM na wao wanafahamu kuwa bila wasanii wasingempata mtu kwenye kampeni zao washukuru hayo majimbo waliyopewa na NEC ingekuwa aibu kubwa sana kwa chama tawala.
 
Hahaaa mkuu mnatembea na MALORI ya mizigo na matrekta ya mpunga! Hahaaa walionekana wanafunzi wa shule za misingi CCM KIRUMBA wakishuka kwenye mabasi
Kutembea na MALORI kama hivi eee, Chadema mna uzushi sana
Screenshot_20200912-233314.jpg
 
Haya maisha yalivyokuwa magumu hivi kwa sababu ya mtu mmoja kuamuwa kutoshirikisha sector binafsi kwenye miradi ya maendeleo na watu kuishi kwa mlo mmoja sioni ni kwa jinsi gani majimbo ya mijini CCM watashinda labda kwa kuiba kura lakini mtanzania mwenye akili timam hawezi kuwapigia kura CCM na wao wanafahamu kuwa bila wasanii wasingempata mtu kwenye kampeni zao washukuru hayo majimbo waliyopewa na NEC ingekuwa aibu kubwa sana kwa chama tawala.
NI JUKUMU LA WATANZANIA KUWAFUNDISHA NAMNA YA KUTUONGOZA! WANATUDHARAU SANA

MIKAKATI YA UWEZESHAJI HAIPO KABISAAAA FEDHA HAKUNA UKIULIZA ETI MLIKUA WAPIGA DILI HIVI MIMI MLALAHOI NAPIGA DILI GANI LA KUIIBIA SERIKALI
 
Huwa najiuliza, hivi watu wanaotegemea Tundu kuwa rais wanaishi mitaa hiihii ya Tanzania kama mimi??
Nawashauri watoke huku jf wakapate hali halisi kuhusu ushindi John Pombe Magufuli toka kwa wanachi
Asilimia kubwa digital propaganda zinawatia upofu sana
 
  • Thanks
Reactions: nao
Huwa najiuliza, hivi watu wanaotegemea Tundu kuwa rais wanaishi mitaa hiihii ya Tanzania kama mimi? Nawashauri watoke huku JF wakapate hali halisi kuhusu ushindi John Pombe Magufuli toka kwa wanachi.
Makamanda kwa kujipa moyo hawajambo...ila ukweli wanao
 
Kigamboni
Geita
Chato
Ilemela
Nyamagana
Shinyanga mjini
Mheza
Korogwe
Yataendaaaa
 
Wakuu napenda kutuma salamu kwa wakuu

Kwa tathmini iliyofanyika mpaka sasa, yafuatayo ni majimbo baadhi ambayo CCM kifo cha mende kama uchaguzi ungefanyika leo:

1. NYAMAGANA - Hili Jimbo mbunge huwa ni ngumu kurudi awamu ya pili, mfano ni Steven Mtabakazi, Lau Masha na Ezekia Dibogo Wenje taarifa wanazo.
2. TABORA MJINI ni kama nyamagana, Mwakasaka nakupa salamu
3. HAI
4. KARATU
5 ARUSHA MJINI
6 UKEREWE
7. MAGU ( VUGUVUGU HAWAMTAKI MGOMBEA WA KAMATI KUU)
8 SINGIDA MJINI ( HATAKIWI MWL MUSSA
9 MBEYA MJINI
10 TUNDUMA
11. UBUNGO
12. KAWE
13. HANANG
14. SINGIDA KASKAZINI (NYALANDU ATAMPIGA YULE RAMADHANI IGHONDO YULE WA DR ULIMBOKA)
15. MOSHI MJINI
16. KIGOMA MJINI
17. TUNDURU
18 KILWA MAJIMBO YOTE
19. BUNDA
20. TARIME VIJIJINI
21. MUSOMA MJINI
22. ROMBO
23. LINDI MJINI
24. MASASI
25. IRINGA MJINI
26. NANYAMBA
27. TANGA MJINI
28. SIHA
Jimbo la mwana FA kuna mdada m Chadema machachari sana. Muheza huko. Mwanaa FA kazi anayo hachomoki.
 
Nashukuru umekiri kushindwa kuwa unawaza majimbo 28 Tanzania ina majimbo 264 kwa mantiki yako hata kura za uraisi zitaranda randa kwenye hayo majimbo tu na kwa tafsiri rahisi tu Lisu keshashindwa uraisi tayari na aichukulie assessment yako serious
 
Back
Top Bottom