Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhamuzi au uamuzi?Hazijatolewa kabisa uamuzi
Anayetoa maelekezo kila Jumapili yuko kanisani kiti cha mbele, kila kukicha anatuomba tumuombee .... Sijui aombewe kwa lipi? Tuna wanafiki nchi hii mpaka basi tu..!!Tume inataka kudhulumu haki ya wananchi iliyoko kwa mujibu wa katiba ya kuchagua na kuchaguliwa
Kiswahili hakina msaada wowote , japo uamuzi ndio lugha halisi , hiyo Uhamuzi nadhani ni kisukumaUhamuzi au uamuzi?
Nilishahama kanisa kukwepa kushirikiana ibada na wanafikiAnayetoa maelekezo kila Jumapili yuko kanisani kiti cha mbele, kila kukicha anatuomba tumuombee .... Sijui aombewe kwa lipi? Tuna wanafiki nchi hii mpaka basi tu..!!
Hayo machadema ndio yalivyoandika hapo juu labda ni kisukuma n'tajuaje?. Hebu soma vizuri, yameandika uhamuzi au huoni?Kiswahili hakina msaada wowote , japo uamuzi ndio lugha halisi , hiyo Uhamuzi nadhani ni kisukuma
NWO since 2012Hayo mamlaka ya kupitisha wagombea bila kupingwa wanayatoa wapi wakati mamlaka yote yanatoka kwa wananchi , wao kazi yao ni kusimamia uchaguzi tu , habari ya kupitisha au kutopitisha wagombea sio kazi yao . Hebu waeleze na sababu nini ? Tuone Kama Zina mashiko ? Kama sio pumba tupu .View attachment 1578381
Tumuombee afe tuAnayetoa maelekezo kila Jumapili yuko kanisani kiti cha mbele, kila kukicha anatuomba tumuombee .... Sijui aombewe kwa lipi? Tuna wanafiki nchi hii mpaka basi tu..!!
Maombi ya mtenda dhambi ni makelele mbele za MunguAnayetoa maelekezo kila Jumapili yuko kanisani kiti cha mbele, kila kukicha anatuomba tumuombee .... Sijui aombewe kwa lipi? Tuna wanafiki nchi hii mpaka basi tu..!!
Kea hiyo tume ina uhalali wa kuwachagulia wananchi wawakilishi wao?Hata kama wamekiuka sheria unataka wapewe hiyo haki?
Sheria ipi...CCM mmeishiwa pumziHata kama wamekiuka sheria unataka wapewe hiyo haki?
Upuuzi huu unapatikana Tanzania tu, Tume inanyima Wapiga kura haki yao.Hata kama wamekiuka sheria unataka wapewe hiyo haki?