Uchaguzi 2020 Majimbo ambayo rufaa zake hazijatolewa na Tume

Hii sio haki. Sikuwahi kufikiria nchi ingefikia hali hii.
Watanzania huu ushetani sijui tumeutoa wapi.
 
Naona Waisraeli tunazidi kuchanja mbuga.

Ukiangalia Nzega Vijijini, Handeni Vijijini na Morogoro Kusini Mashariki ni majina ya watu kutoka Israel the Nation of God.

Marekani wenyewe hawathubutu kuwadhulumu Waisraeli maana ndiyo wenye akili na weledi wa kujenga nchi kiuchumi.

Huku kwetu hatujagundua bado, ila ukweli ni kwamba Waisraeli tumehujumiwa haswa na hili balaa litaisha iwapo hujuma zitakoma.

Israel Mungu yu pamoja nasi, Amina!
 
Anayetoa maelekezo kila Jumapili yuko kanisani kiti cha mbele, kila kukicha anatuomba tumuombee .... Sijui aombewe kwa lipi? Tuna wanafiki nchi hii mpaka basi tu..!!
Nilishahama kanisa kukwepa kushirikiana ibada na wanafiki
 
Kiswahili hakina msaada wowote , japo uamuzi ndio lugha halisi , hiyo Uhamuzi nadhani ni kisukuma
Hayo machadema ndio yalivyoandika hapo juu labda ni kisukuma n'tajuaje?. Hebu soma vizuri, yameandika uhamuzi au huoni?
 
They are less than that,wanaushawishi gani?Hawa jamaa wanatakiwa kuwekwa makumbusho for future generation to see what a monster they were.
 
Secretary aliye-type hiyo kazi analipwa Mshahara bei gani?

"Uhamuzi"
 
NWO since 2012
 
Ifike mahali tuseme sasa basi, tuundishe vikundi vya siri vya kigaidi ili ujinga kama ukitokea wahusika wanatekwa fasta na kusulubiwa! Tutapita wawili watatu watajirudi!
 
Anayetoa maelekezo kila Jumapili yuko kanisani kiti cha mbele, kila kukicha anatuomba tumuombee .... Sijui aombewe kwa lipi? Tuna wanafiki nchi hii mpaka basi tu..!!
Maombi ya mtenda dhambi ni makelele mbele za Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…