Pre GE2025 Majimbo ambayo yametosheka na maendeleo yanaweza kuchagua wapiga porojo!

Pre GE2025 Majimbo ambayo yametosheka na maendeleo yanaweza kuchagua wapiga porojo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Wale wote ambao wametosheka na maendeleo ndani ya majimbo yao ya kiuchaguzi wanaweza kuchagua wapiga porojo wenye ubishi mkali, wapenda sifa za maongezi, wasioweza kufanya lolote ndani ya majimbo yao. Tunashuhudia siasa za jirani zetu Kenya, ambapo malumbano yanaendelea asubuhi mpaka jioni (Citizen TV).

Nasisitiza, nchi imesonga mbele kweli kimaendeleo bila wakwazaji wa maendeleo kwa kipindi chote cha awamu ya sita. Hili limeleta umakini kwenye serikali yetu, kiasi cha kusambaza maendeleo nchini kote!

Kongole kwa Mama Samia, kazi inaonekana waziwazi, lakini wachawi hawaoni kama umefanya lolote!

Ziara njema yenye wingi wa baraka!

InshaAllah.
 
Wale wote ambao wanlmetosheka na maendeleo ndani ya majimbo yao ya kiuchaguzi wanaweza kuchagua wapiga porojo wenye ubishi mkali wapenda sifa za maongezi, wasioweza kufanya lolote ndani ya majimbo yao, tunashuhudia siasa za jirani zetu Kenya, wao ni malumbano asubuhi mpaka jioni (citizen tv),
Nasisitiza, Nchi imesonga mbele kweli kimaendeleo bila ya wakwazaji wa maendeleo kwa kipindi chote cha awamu ya sita, hili limeleta umakini kwenye serekali yetu, kiasi cha kutapanya maendeleo nchini kote!,
Kongole mama Samia kazi inaonekana waziwazi, lakini wachawi wote hawaoni kama umefanya lolote!
;;Ziara njema yenye wingi wa baraka!
Inshaallah.
Sawa kabisa,penye mapungufu yasemwe!
 
Back
Top Bottom