Sasa jamani Babu Tale anaweza kuhoji na kupinga hoja kandamizi za CCM bungeni!Shime watanzania tusicheze na maisha yetu. Tuipige chini CCM kila mahala. Huyu dikteta akirudi ikulu tena tumekwisha!
Mange Kimambi aliwahi kutuonya kipindi kile kwamba atatushika pabaya. Na kweli tumeumizwa Sana.
Naona umeandika hapa kujifurahisha tu. Mahera anatoka jasho hajui awasaidie kwa njia gani, wapiga kura hawataki tena ule ujinga wa zamani mnawaibia kura halafu wanakaa kimya, mwaka huu mtaisoma namba.
Blaza blazaaa 😎Naona umeandika hapa kujifurahisha tu. Mahera anatoka jasho hajui awasaidie kwa njia gani, wapiga kura hawataki tena ule ujinga wa zamani mnawaibia kura halafu wanakaa kimya, mwaka huu mtaisoma namba.
Mkuu ccm wamejaaa barabarani Hali mbaya wanajiamini sanaZitto anakaribia kupindua meza huku.. ameshinda ila mkurugenzi kagoma kumtangaza hali ni tete kwa sasa Kigoma mjini
Umetisha mkuu1. Kawe: Namuonea huruma sana Halima Mdee (Gwajima hapendwi lakini ndio mbunge mtarajiwa)
2. Vunjo: Kimei sio mwanasiasa ila alienda pale kwa kuelekezwa tu upinzani unapitaje?
3. Moshi Mjini: Jimbo kongwe la upinzani. Mwenye jimbo lake kafa(Ndessamburo) upinzani unapitia wapi?
4. Hai: Mbowe ni kama kashatolewa lakini kwa sababu mpira ni dk 90 anaona bora amalize tu
5. Arusha Mjini: Maskini Lema anapambana na aliekuwa Rais wa mkoa wake anajua kila kitu kuhusu Arusha.
6. Iringa Mjini: Msigwa amekuwa mwiba sana bungeni kwahiyo anatakiwa asirudi kwa vyovyote vile.
7. Mbeya Mjini: Sugu anapambana na Naibu Spika. Kiutawala tu bungeni nani mkubwa?
8. Tarime zote(Vijijini na Mjini) si rahisi lakini ni lazima wapinzani waachie hata kwa nguvu.
9. Kigoma mjini: ZZK ni mfame pale lakini anatakiwa mtu mpole wa kupiga makofi tu bungeni na kuimba mapambio.
Wapinzani watapita wasiojua kuongea sana na vijimbo vidogo vidogo tu.
Wekeni alama uzi huu halafu baada ya tarehe 28 mtaniambia kuwa mimi sio muongo. Mimi sina chama ila ukweli ndio huo.
ko tujiandae kwenda marekan sio mbinguniKawe Gwajima kashinda jamani
Wewe ulitetegemea tofauti na hivyo???Kawe Gwajima kashinda jamani
Hali hata sio mbaya...Kigoma ni wangapi wanatumia twitter? Ni wangapi wanaijuia VPN? Endeleeni na harakati twitter mkijua mtaani twitter ipoZitto anakaribia kupindua meza huku.. ameshinda ila mkurugenzi kagoma kumtangaza hali ni tete kwa sasa Kigoma mjini
Duh!! Asee..naona utabiri unatimia..1. Kawe: Namuonea huruma sana Halima Mdee (Gwajima hapendwi lakini ndio mbunge mtarajiwa)
2. Vunjo: Kimei sio mwanasiasa ila alienda pale kwa kuelekezwa tu upinzani unapitaje?
3. Moshi Mjini: Jimbo kongwe la upinzani. Mwenye jimbo lake kafa(Ndessamburo) upinzani unapitia wapi?
4. Hai: Mbowe ni kama kashatolewa lakini kwa sababu mpira ni dk 90 anaona bora amalize tu
5. Arusha Mjini: Maskini Lema anapambana na aliekuwa Rais wa mkoa wake anajua kila kitu kuhusu Arusha.
6. Iringa Mjini: Msigwa amekuwa mwiba sana bungeni kwahiyo anatakiwa asirudi kwa vyovyote vile.
7. Mbeya Mjini: Sugu anapambana na Naibu Spika. Kiutawala tu bungeni nani mkubwa?
8. Tarime zote(Vijijini na Mjini) si rahisi lakini ni lazima wapinzani waachie hata kwa nguvu.
9. Kigoma mjini: ZZK ni mfame pale lakini anatakiwa mtu mpole wa kupiga makofi tu bungeni na kuimba mapambio.
Wapinzani watapita wasiojua kuongea sana na vijimbo vidogo vidogo tu.
Wekeni alama uzi huu halafu baada ya tarehe 28 mtaniambia kuwa mimi sio muongo. Mimi sina chama ila ukweli ndio huo.
Umetimia kwa 100%Duh!! Asee..naona utabiri unatimia..