Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Sera zake ziwewasaidia nini Watanzania? Umeme umepungua bei, maji, huduma za afya unapata, bei ya vifaa vya ujenzi ikoje, chakula, nauli.Hatumtaki samia
We jingalao kwl. Uliteta na nani. Halafu huu upumbavu ws kanda ya ziwa uacheni, mbn washamba hivyo? Nchi yetu haijagawanywa kwenye ukanda wowote.Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.
Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.
Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.
Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
Ndio maana mnaitwa zero brain aka nyumbuSio Kanda ya Ziwa peke yake ni karibu nchi nzima mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tbora, Kigoma, Songwe, Tanga, Dar es Salam, Morogoro, Iringa, Lindi na Ntwara kote huko wanarudi upinzani
Wajinga ndio waliwao,katunga insha za darasa la sita,very pathetic.Kwanini hakujiongeza kwa kutumia Artificial Intelligence?Huko kwa hadithi za Esopo tumeishapita.Kwa vichekesho kama hivi, endelea kufuatilia post za mwandishi huyu.
kazi ya wananchi ni kupiga kuraNaweza nikaapia hizo tetesi umepewa na bibi yako na sio wakazi wa Kanda ya Ziwa.
Kuna saa kuiba inakuwa ngumu kdgWatu huwa mnahangaika sana,mnajisahulisha kwamba hzo chaguzi zinasimamiwa na wakurugenzi wa halimashauri na makarani ni walimu ambao boss wao ni mkurugenz
Kumeanza kuchangamka sasa, safari hii , ccm watavaa brauzi sanaSio Kanda ya Ziwa peke yake ni karibu nchi nzima mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tbora, Kigoma, Songwe, Tanga, Dar es Salam, Morogoro, Iringa, Lindi na Ntwara kote huko wanarudi upinzani
Chadema wangeweza kushinda lakini sera yao ya kumtukana JPM itawakosesha kura nyingi sana sio kanda ya ziwa tu Tanzania nzima watu walikubali k niazi zake.
Chadema bado hawajui jinsi ya kushinda chaguzi na kujenga coalition yenye nguvu. Wanaweza kujifunza hata Kenya jinsi ya kushinda chaguzi.
Sio Jaji bwana, ni Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi.kazi ya wananchi ni kupiga kura
kazi ya karahani ni kuhesabu kura
kazi ya jaji ni kutangaza mshindi wa kura.
Nasikia CHADEMA inakuja na wagombea wanaokubalika sana kwenye majimbo wakiwemo Maprofesa mnakumbuka enzi za Profesa Kulikoyela Kahigi Jimbo la Bukombe? msimu huu wanakuja na wagombea Mawakili, Watumishi wa Mungu mnakumbuka enzi za Mchungaji Israel Natse Jimbo la Karatu, Mchungaji Msigwa Jimbo la Iringa, Mawakili mnakumbuka enzi za Tundu Lissu Jimbo la Singida Mashariki, ndiyo safu mpya itakayopangwa majimboni wakati ccm wao wakiendelea na mipango ya kununua wajumbe na kamati za siasa za wilaya na mikoa ili kupitisha majina yao...mkifika kwa wananchi mnaaangukia pua...Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.
Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.
Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.
Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
Ila kiukweli hata ndani ya CCM Bi. Mkubwa hakubaliki na ndo maana hapa kati wametumia usanii kumuweka kwa kushirikiana na mzee wa pale chalinze.
Uchaguzi huu ni mgumu sana kwake kama upinzani watakuwa na candidate anayeeleweka na hasa kama atakuja na sera za JPM na Trump, atashinda mapema sana
mbona wanasema amejenga madarasa mengi sanaKanda ya Ziwa mama hakubaliki - ile kanda ina misingi yake ya utawala kwa mwanamke ni ngumu mno kutoboa hii ni kuanzia kwenye kaya.. ni jadi yao.
CCM watapata taabu sana kule.
Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini ndani ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa kuwa uchaguzi wa mwaka huu wataamua kuchagua wawakilishi wabunge na madiwani kutoka vyama vya upinzania baada ya kubaini kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwatetea kwenye mambo ya msingi kwa kuhofia kutoteuliwa na CCM kugombea uchaguzi wa mwaka huu.
Tetesi hizo zimeenea katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kagera, Geita na Kigoma ambapo wananchi wa hali ya chini wanalalamikia uwakilishi duni wa wabunge wa CCM katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiwatuhumu kwa mambo mbalimbali ikiwemo kukubali kupitisha Sheria mbovu zinazowakandamiza, kushindwa kuwatetea kwenye mambo ya kilimo, madini, uvuvi huku sekta hizo zikiwa zinabeba uchumi wa kanda ya ziwa.
Vijiwe vingi vya Kahawa katika Jiji la Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Geita na Kagera mada hizi za uwakilishi mbovu wa wabunge zimekuwa zikijirudia mara kwa mara na kuapa kurudisha nguvu ya upinzani ya miaka ya 2010 ambapo majimbo mengi Kanda ya Ziwa yalikuwa upinzani.
Majimbo yaliyokuwa na wabunge wa upinzani ni pamoja na Nyamagana, Ilemela, Ukerewe, Bukoba Mjini, Bukombe, Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda, Serengeti, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Meatu, Itilima.
Kule akipata kura walau 20% ashukuru Mungu wake. Lissu atazizoa zoote.mbona wanasema amejenga madarasa mengi sana