- Thread starter
- #21
Walikuwa hawana sapoti ya chama walikuwa hawakiwakilishi chama.Wanaenda kufanya nini sasa?
Hao wengine watakuwa wamekosq nini sasa? Sijui naeleweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuwa hawana sapoti ya chama walikuwa hawakiwakilishi chama.Wanaenda kufanya nini sasa?
Hao wengine watakuwa wamekosq nini sasa? Sijui naeleweka?
unajisumbua kumwelewesha chiziWalikuwa hawana sapoti ya chama walikuwa hawakiwakilishi chama.
Wakimuacha yule Hilda Newton watakuwa na matatizo yule mdada kipindi cha dikteta alisimama imara snSakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Nenda na ww kampe raha mwenyekiti tuandikie jina lako.Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Watakuwa na matatizo ya akiliWakimuacha yule Hilda Newton watakuwa na matatizo yule mdada kipindi cha dikteta alisimama imara sn
SureWatakuwa na matatizo ya akili
We jamaa una majungu! Punguza basi mkuu maana kuacha huwezi.Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Yule shujaa binti wa Muheza hayumo?Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Huyu si mpambanajiHuyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Ukimaliza zamu yako utanistuaNenda na ww kampe raha mwenyekiti tuandikie jina lako.
Wapya kama asilimia 43 wachg😂😂Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Anaweza kupaza sauti bila woga wa Magufuli kitu ambacho wewe na yule hawana, even me so to say!Sijui huwa mnachangua kwa kuangalia facts zipi, kushinda twitter au?? Ndomaana mnatumika kirahisi sana kama platform ya watu kujikuza kisiasa, na hata huko mitandaoni(refer to kigogo) kwasababu mmejaa mihemko.
Huyo Hilda ana kipi cha maana, au swala lake la kujionyesha kuipenda CDM mitandaoni??
Mtu kama yule anaachwajeYule shujaa binti wa Muheza hayumo?
Vyovyote vile mkuu kwani unafikiri tuliowachagua 2020 ndio wanatuongoza Leo.....kaa kwa kutulia maisha yaendeleeSijui huwa mnachangua kwa kuangalia facts zipi, kushinda twitter au?? Ndomaana mnatumika kirahisi sana kama platform ya watu kujikuza kisiasa, na hata huko mitandaoni(refer to kigogo) kwasababu mmejaa mihemko.
Huyo Hilda ana kipi cha maana, au swala lake la kujionyesha kuipenda CDM mitandaoni??
Nadhani you lack a lot of informationWanaenda kufanya nini sasa?
Hao wengine watakuwa wamekosq nini sasa? Sijui naeleweka?
Yes, alijitoa mhanga kujitetea chama bila kujali kifo kutoka kwa jiweWakimuacha yule Hilda Newton watakuwa na matatizo yule mdada kipindi cha dikteta alisimama imara sn