Jaslaws, kumbuka kuwa Ualimu ndio fani mama, wacha watu waendelee kuipenda, pamoja na kuwa ni kazi isiyokuwa na malipo/maslahi mazuri ila ina exposure, kupitia ualimu wengi wao hufikia malengo yao ya kielimu, ndio maana wengi wa maprofesa ni walimu
Hivi kwa wastani kwa mwaka mmoja wa masomo huwa kunakuwa na wahitimu wangapi wa ualimu kwa ngazi zote?
Maana haya matokeo ya upangiwaji ajira za ualimu yamekuwa yakingojewa kwa hamu sana...
What I see ni Kwamba hiyo ni second batch. First batch ipo wapi?
Sent from my iPad using JamiiForums
jaman weken moja yabadilishen hata kwenye word maana hzo link hazfunguki
Brother James...tuwekee na ya stashahada pia hongera sana kwa kuleta taatifa nzuri na nyeti kama hizo...umechukua points zangu zote kiongozi
Wale was Certificate ndo tunasubiri tukapige chaki...
mbona haioneshi tarehe ya ku report kituoni?
Ngahekapahi, Kwa utaratibu wa TAMISEMI/MOE walimu wa Certificate na Diploma kwa pamoja waliwekwa kwenye first batch, na walimu wa ngazi ya shahada(Degree) wamewekwa kwenye second batch.
Mbona kwenye website ya moe hayapo bana achen kuzingua watu..
Nashukuru mkuu kwa maelezo hayo maana mimekuwa nikitazama majina ya baadhi ya ndugu zangu sikuona na wana degree so nikadhani may be wanaweza kuwa Kwenye first batch.
Sent from my iPad using JamiiForums
Ngahekapahi, usikate tamaa kama hukuyaona majina yao kwani maranyingi kwa miaka iliyopita tumeshuhudia majina ya watu yakikosewa hivyo basi kwa bahati mbaya yawezekana majina unayoyatafuta yakawa yamewekwa kwenye first batch kimakosa kwani ni mara nyingi tu kimetokea kitu kama hicho, hembu tusubiri first batch itoke kwa ajili ya kujiridhisha zaidi
Wapendwa hayo majina yanaonekanaje nimehangaika sana plz your help
watu8, ukiondoa walimu hawa 12688, ambao majina yao tayari yamekwisha toka na wao kupangiwa Halmashauri za kwenda kufanya kazi, walimu wanaobaki ni wa shule za msingi (17,928) jumlisha walimu wenye diploma (5,416) = 23,344/= ndio ambao bado hawajafahamu hatima ya ajira zao, nadhani ndio hawa wanahaha kufahamu wamepangwa wapi. Kwa ufupi mwaka huu Wizara ya TAMISEMI + Wizara ya Elimu wataajiri walimu 36,021/= tu. Hivyo basi kwa wastani wahitimu kwa kila mwaka huenda sambamba na idadi ya wanaoajiriwa mwaka husika/unaofuata.Yaani serikali kila mwaka huchukua records za wahitimu woote katika vyuo vyoote vya elimu na karibia woote huajiriwa.
Mkuu Brother James
Kwanza haya majina yapo 12,666,sio 12,688 kama unavyosema..
Nimejaribu kupitia majina haya naona jina langu halimo...! sasa naomba unisaidie kupata ile orodha ya wakufunzi,nina
wasiwasi naweza kuwemo kule,kwa sababu nimesoma BED..!
Shukrani !