Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,213
- 13,253
Jaslaws, kumbuka kuwa Ualimu ndio fani mama, wacha watu waendelee kuipenda, pamoja na kuwa ni kazi isiyokuwa na malipo/maslahi mazuri ila ina exposure, kupitia ualimu wengi wao hufikia malengo yao ya kielimu, ndio maana wengi wa maprofesa ni walimu
heri nisukume mkokoten kuliko kuwa mwalimu Tanzania...... Hii serikali haina maana kabisa. Kama mawazir wenyew mizigo wamefoji vyeti hawajui chochote watakuwa na fikra za kujali kaz mama kama ya ualimu...... Naona aibu kuitwa mtanzania