Watajijuu!!
Naomba kuangaliziwa jina langu Singofu M. Robert grade A
15902 SINGOFU M. ROBERT M S. L. P.
359,SENGEREMA
KINAMPANDA MARA MUSOMA (V)
in short umepangwa musoma vijijini
Sio vizuri hivo ebu futa kauli hiyo, hapa ni great thinkers!
otmary nali, osimunda nali ,diploma na certificate
haya kaka nshafuta!
2569mkuu naomba nichekie dada yangu anaitwa DOMITILA BOSCO KOMBA ngazi ya shahada(degree) nijue kapangwa wapi
Mtwara tena hivi wajua shida maji ilivyo huko vijijini, nilishafika kijiji kimoja chiungutwa kwa tafiti za research ya matumizi bora ya ardhi basi yaani maji ni shida wanachota kwenye vidimbwi baada ya mvua kunyesha
Wazo zuri sio kukaa mjini tu na vijijini tukaishi pia, wasalimie
hahahaha! Dah naskia hukovumbi tu!
patrick mrope. Nimemaliza diploma
NAOMBA MSAADA
ALLEN CLEMENT stashahada
2569
DOMITILA BOSCO KOMBA
F
P.O.BOX 11811, ARUSHA
MMU
BED
HISTORY
PWANI
MKURANGA
Kapangwa Mukuranga
nashukuru sana ndugu yangu,be blessed.
hatuwataki siye tunaowana wenyewe kwa wenyewe!haya shoti kuli geuzaaa.....