Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

Status
Not open for further replies.
heri nisukume mkokoten kuliko kuwa mwalimu Tanzania...... Hii serikali haina maana kabisa. Kama mawazir wenyew mizigo wamefoji vyeti hawajui chochote watakuwa na fikra za kujali kaz mama kama ya ualimu...... Naona aibu kuitwa mtanzania

Huo mkokoteni usiutembeze nchi yetu TZ, sio busara kumkashifu hivo Mwalimu, ikiwa wewe ndo una mtizamo huo basi kaa nao kimya usiudhihirishe kwa umma. Nadhani una familia utawasomesha wapi? Watafundishwa na roboti??? Try to be a greater thinker, uzi huu ni wa kupeana ari na taarifa, sio kashifaa hivo.
 
Kumbe kuna walimu wengi humu wengine hata sikuwazania, anyway mkatufundishie watoto wetu vizuri div 5 hatuzitaki. Kila la kheri.
 
Msaada wa kuangaliziwa MUSA MAFURU,idara ya Msingi (CHETI) Mukidoma TTC
 
Naomba kuangaliziwa jina ABRAHAM MHAMI mwl shule za msingi(cheti) kacm kangu hakafungui pdf
 
Wakuu niangalizie hili jina anaenda wapi nianze kusaka nauli yake.
SIGRACE MWANGOSI ni certificate.
ahsanteni.
 
Wakuu niangalizie hili jina anaenda wapi nianze kusaka nauli yake.
SIGRACE MWANGOSI ni certificate.
ahsanteni.

Umepangiwa mkoa wa mbeya halmashauri ya Busokelo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…