Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Magnificent, upo sawa kabisa, kuna jumla ya watu 11 (12,677-12,666) ambao hawaonekani kwenye list hiyo ya TAMISEMI, bila shaka watakuwa ni wale waliopelekwa kwenye ukufunzi kwani walimu wanaotakiwa kuajiriwa (kauli ya katibu mkuu-TAMISEMI) kwa ngazi ya degree ni 12,677 na hadi sasa tumeona jumla ya majina ya watu 12,666, watu kumi na moja (11) wanakosekana. Niungane na ww kuwa yawezekana kabisa kuwa hao walimu 11 wataajiriwa na wizara ya elimu kama wakufunzi wa vyuo vya ualimu. Kwa taarifa zaidi tuendelee kuwa na subira.
Brother James...tuwekee na ya stashahada pia hongera sana kwa kuleta taatifa nzuri na nyeti kama hizo...umechukua points zangu zote kiongozi
UNLOCK, watu wanalist mikononi na list ya majina unayotaka itoke kupitia website ya WIZARA YA ELIMU ndio hii hii, ukiona jina lako halimo tambua kuwa huna ajira ndugu yangu,hiyo itakuwa imekula kwako
Mkuu
Tayari wametoa majina yote!
Nimepangwa CHUO CHA UALIMU.
Pita hapa kaka,Ajira Mpya | PMORALG Tanzania
hii ni rasmi imetolewa au ni ileile iliyovuja..?..
Hiyo ni kweli tupu. Sasa hivi mambo sio kama zamani mtu hawezi kuajiriwa na kuacha anavyotaka
hiyo mitambo imeanza fanya kazi lini.watu mbona wanaajiliiwa mara mbili.na hela wanachukua kote
Jaribu sasa kama unaweza.