Majina halisi ya WanaJF waliofariki

Majina halisi ya WanaJF waliofariki

Kuna jamaa pia tulikuwa naye Swiss Aid akiitwa Justin Mdemu mtu wa Iringa alikufa ghafla akiwa kikazi Kigoma

Whaaaat, Justin Mdemu alishafariki? Alifariki mwaka gani wakubwa? Ninamfahamu alifanya taasisi moja akiwakilisha Save the Children katika mradi Fulani hivi. Nimesikitika sana. Alikuwa mchangamfu sana.
 
Jina langu kujulikana JF ni sawa na kusema ardhi ma mbingu zikutane!!! Labda watumie njia za kisayansi kunipata tu ila kuwaambie eti moderator no way. Kila kitu ni fake tu kuanzia email uliyoingia nayo hapa please tengeneza special wakubwa. Never use your official or personal email address inayofahamika!!! At least wakitaka kukutafuta iwe kazi ya ziada wakitumia IP address and the like. Rest in Peace our heros..
 
Jina langu kujulikana JF ni sawa na kusema ardhi ma mbingu zikutane!!! Labda watumie njia za kisayansi kunipata tu ila kuwaambie eti moderator no way. Kila kitu ni fake tu kuanzia email uliyoingia nayo hapa please tengeneza special wakubwa. Never use your official or personal email address inayofahamika!!! At least wakitaka kukutafuta iwe kazi ya ziada wakitumia IP address and the like. Rest in Peace our heros..

bila kumsahau GODORO LA COMFY wakuu.
 
Last edited by a moderator:
Mkiona sija sign mwaka mzma ndo mjue nimesha RIP

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hatumuoni siku hizi humu, au na yeye Rest in piece?

Kuna jamaa yangu alikuwa nyuma ya laptop yake, akacheka, nikamuuliza unacheka nini akaniambia njoo uangalie post hapa JF, basi nikaona ID yake, nikamuuliza kumbe wewe ndio fulani, tangu siku hiyo sijaona post zake tena ingawa nadhani amebadilisha ID. Kwa hiyo kuna wengine wamebadili ID ndio maana wametoweka lakini wapo.
 
Mkiona imepita week nzima sijaingia humu, tafadhali wasilianeni na JF Rock City wing wa taarifa zaidi...
 
Jina langu kujulikana JF ni sawa na kusema ardhi ma mbingu zikutane!!! Labda watumie njia za kisayansi kunipata tu ila kuwaambie eti moderator no way. Kila kitu ni fake tu kuanzia email uliyoingia nayo hapa please tengeneza special wakubwa. Never use your official or personal email address inayofahamika!!! At least wakitaka kukutafuta iwe kazi ya ziada wakitumia IP address and the like. Rest in Peace our heros..

Ndo tabia yang nina li email kwaajili ya mataka taka ya social network
 
Whaaaat, Justin Mdemu alishafariki? Alifariki mwaka gani wakubwa? Ninamfahamu alifanya taasisi moja akiwakilisha Save the Children katika mradi Fulani hivi. Nimesikitika sana. Alikuwa mchangamfu sana.

Mkuu Zogwale Justine ni Kaka yangu kabisa tulimzika 2010 May.
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa pia tulikuwa naye Swiss Aid akiitwa Justin Mdemu mtu wa Iringa alikufa ghafla akiwa kikazi Kigoma

mkuu Kintiku justine was my brother kbs, tulimzika may 2010
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa pia tulikuwa naye Swiss Aid akiitwa Justin Mdemu mtu wa Iringa alikufa ghafla akiwa kikazi Kigoma

ni kweli huyu jamaa alifariki ghafla kwa ugonjwa wa presha akiwa wilayani kasulu. Ilikuwa mwezi wa 10 mwaka 2010. Jamaa alikuwa mtu wa watu.
 
Taarifa zangu mtazipata tu tena kwa uhakika,kwani tunajuana wana-jamii wengi sn ktk mazingira tunayoishi.Siku yng ikifika watawapatia taarifa.Mungu atusaidie.
 
Mkuu Zogwale Justine ni Kaka yangu kabisa tulimzika 2010 May.

Mkuu Twilumba pokea pole nyingi sana kwako na familia nzima ya kwenu na mke wake wake na watoto. Kweli maisha ni kitendawili mnoo. Rest in Peace Justine.
 
ni kweli huyu jamaa alifariki ghafla kwa ugonjwa wa presha akiwa wilayani kasulu. Ilikuwa mwezi wa 10 mwaka 2010. Jamaa alikuwa mtu wa watu.
Ndugu yaka hapa JF kwa ID ya Twilumba alipost kuwa walimzika May 2010 na si October, 2010. Iliniuma sana enzi nilimfahamu akiwa kijana with young family, alikuwa mchangamfu sana anayejiamini katika kazi. Hope ndiyo maana alikuwa anajiriwa International NG'Os.
 
Nadhani ni vema kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki kama alivyopendekeza PJ kwenye posti moja hivi. Mimi naanza:

1. Juma Kidogo
2. Baruti Mwesiga aka Kandambili
3. Profesa Jwani Mwaikusa
4. Regia Mtema
5.

Kwa kweli hii thread inatisha hata kusoma japo nimeipitia yote,
 
Invisible design sofutiwea ambayo mtu akifa tu inaleta jina lake halisi huku jf afu paw ana publish na tunamu wish rest in peace
 
Back
Top Bottom