Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,178
- 4,410
Salaam wakuu. Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kumekuwa na mambo mbali mbali yenye kujenga, kufundisha na kuburudisha. Lakini katika wingi wa mambo hayo huwa inatokea mtu unataka kutoa ushuhuda wako, kumuita mtu aje kuchangia au kutoa maelezo zaidi ndipo unatamani umtag mtu unaemhusudu ktk hilo.
Hali huwa ngumu kufanya hivyo pale unapokuta kuna mtu unataka kumuita lakini jina lake mwanzo mpaka mwisho ni kama herufi za kichina. Au jina refuuu
Najua kila mtu anasababu ya jina la humu alilolichagua lakini si mbaya km watu wakajitambulisha kwa jina jipya ambalo ni rahisi.
Naamini hata umaarufu wa mshana umetokana na jina lake na mambo yake.
Taja jina hata kwa kukosea herufi tu lakini uwe umeonesha msisitizo.
Kumekuwa na mambo mbali mbali yenye kujenga, kufundisha na kuburudisha. Lakini katika wingi wa mambo hayo huwa inatokea mtu unataka kutoa ushuhuda wako, kumuita mtu aje kuchangia au kutoa maelezo zaidi ndipo unatamani umtag mtu unaemhusudu ktk hilo.
Hali huwa ngumu kufanya hivyo pale unapokuta kuna mtu unataka kumuita lakini jina lake mwanzo mpaka mwisho ni kama herufi za kichina. Au jina refuuu
Najua kila mtu anasababu ya jina la humu alilolichagua lakini si mbaya km watu wakajitambulisha kwa jina jipya ambalo ni rahisi.
Naamini hata umaarufu wa mshana umetokana na jina lake na mambo yake.
Taja jina hata kwa kukosea herufi tu lakini uwe umeonesha msisitizo.