Majina Mbalimbali ya Mungu

Majina Mbalimbali ya Mungu

John Magongwe

Member
Joined
Jan 4, 2024
Posts
71
Reaction score
119
Majina Mbalimbali ya Mungu

Kwa nini majina tofauti

Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea.

Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule
Ni kama vile, rais fulani aitwe John, lakini huyo huyo anaweza akaitwa baba sehemu fulani, akaitwa mjomba sehemu nyingine, mhandisi kwa watu fulani, amiri jeshi mkuu eneo fulani, babu sehemu nyingine, n.k.

Utaona kuwa vyeo vyote hivyo vimekuja aidha kulingana na wakati, au matukio, au nafasi aliyopo au ujuzi alio nao, n.k. Mtu huitwa kwa majina hayo yote, kwa nyakati tofauti. Ndivyo ilivyo pia kwa Mungu wetu. Alijifunua katika majina mbalimbali. Hebu tutazame majina hayo, japo kwa ufupi.

Mungu ni jina linalotumika kwa anayesadikiwa katika dini kuwa na uhai wa hali ya juu.

Katika somo hili, Mungu anayezungumziwa ni Mungu wa Mbinguni, Muumba mbingu na nchi, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-15).

Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)

Jina Hili la YESU ndilo jina tulilonalo hadi sasa. Kwa kupitia jina Hili ndiyo tunapata wokovu. Kwa jina Hili, ndiyo tunamshinda adui. Kwa jina Hili, ndiyo tunapata baraka, na kwa jina Hili, ndiyo tunaishi.

Hivyo, Mungu ni mmoja tu, lakini ana majina mbalimbali, kulingana na uweza wake, majira fulani yaliyopita, au matukio yaliyotokea katika namna tofauti.

Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake (Dan 2:20).
 
Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)
Failure of man to solve his problems on earth, that primitive, very primitive msn in all aspects of life, man by those days, sought some solution from SUPER NATURAL POWERS AND HENCE THE QUESTION OF GOD............with so many names!
 
Majina Mbalimbali ya Mungu

Kwa nini majina tofauti

Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea.

Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule
Ni kama vile, rais fulani aitwe John, lakini huyo huyo anaweza akaitwa baba sehemu fulani, akaitwa mjomba sehemu nyingine, mhandisi kwa watu fulani, amiri jeshi mkuu eneo fulani, babu sehemu nyingine, n.k.

Utaona kuwa vyeo vyote hivyo vimekuja aidha kulingana na wakati, au matukio, au nafasi aliyopo au ujuzi alio nao, n.k. Mtu huitwa kwa majina hayo yote, kwa nyakati tofauti. Ndivyo ilivyo pia kwa Mungu wetu. Alijifunua katika majina mbalimbali. Hebu tutazame majina hayo, japo kwa ufupi.

Mungu ni jina linalotumika kwa anayesadikiwa katika dini kuwa na uhai wa hali ya juu.

Katika somo hili, Mungu anayezungumziwa ni Mungu wa Mbinguni, Muumba mbingu na nchi, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-15).

Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)

Jina Hili la YESU ndilo jina tulilonalo hadi sasa. Kwa kupitia jina Hili ndiyo tunapata wokovu. Kwa jina Hili, ndiyo tunamshinda adui. Kwa jina Hili, ndiyo tunapata baraka, na kwa jina Hili, ndiyo tunaishi.

Hivyo, Mungu ni mmoja tu, lakini ana majina mbalimbali, kulingana na uweza wake, majira fulani yaliyopita, au matukio yaliyotokea katika namna tofauti.

Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake (Dan 2:20).
Ahsante Mkuu, tunashukuru kwa somo!
 
Failure of man to solve his problems on earth, that primitive, very primitive msn in all aspects of life, man by those days, sought some solution from SUPER NATURAL POWERS AND HENCE THE QUESTION OF GOD............with so many names!
Kuonyesha kwamba vyote ni vyake Duniani na Mbinguni, believe!
 
Vitu viwili hapa duniani vyenye majina mengine ( Affectionate names). Mengi sana, 1. Mwenyezi Mungu
2. Uchi wa mwanamke
 
Majina Mbalimbali ya Mungu

Kwa nini majina tofauti

Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea.

Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule
Ni kama vile, rais fulani aitwe John, lakini huyo huyo anaweza akaitwa baba sehemu fulani, akaitwa mjomba sehemu nyingine, mhandisi kwa watu fulani, amiri jeshi mkuu eneo fulani, babu sehemu nyingine, n.k.

Utaona kuwa vyeo vyote hivyo vimekuja aidha kulingana na wakati, au matukio, au nafasi aliyopo au ujuzi alio nao, n.k. Mtu huitwa kwa majina hayo yote, kwa nyakati tofauti. Ndivyo ilivyo pia kwa Mungu wetu. Alijifunua katika majina mbalimbali. Hebu tutazame majina hayo, japo kwa ufupi.

Mungu ni jina linalotumika kwa anayesadikiwa katika dini kuwa na uhai wa hali ya juu.

Katika somo hili, Mungu anayezungumziwa ni Mungu wa Mbinguni, Muumba mbingu na nchi, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-15).

Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)

Jina Hili la YESU ndilo jina tulilonalo hadi sasa. Kwa kupitia jina Hili ndiyo tunapata wokovu. Kwa jina Hili, ndiyo tunamshinda adui. Kwa jina Hili, ndiyo tunapata baraka, na kwa jina Hili, ndiyo tunaishi.

Hivyo, Mungu ni mmoja tu, lakini ana majina mbalimbali, kulingana na uweza wake, majira fulani yaliyopita, au matukio yaliyotokea katika namna tofauti.

Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake (Dan 2:20).

Mungu alimtuma Yesu kipindi ambacho dunia ilikuwa na changamoto kubwa ya Uchawi; watu waliamini uchawi na Ushirikina na kusahau kabisa uwepo wa Mungu hivyo akaona atume mjumbe na kumpa uwezo wa kufanya zaidi ya wachawi ili watu wajue kuwa, yupo Mungu mmoja tu na mwenye mamlaka yote (na hao wachawi sio lolote kwake).... na hata kuzaliwa kwake, alikufanya kuwe kwa miujiza kwa kusudio hilo hilo.

Mungu akamtuma Yesu huku akimpa uwezo mkubwa kabisa wa kuponesha magonjwa ambayo wachawi hawakuyaweza, kukufufua, kufukuza mapepo nk nk na yote hayo alikuwa akiyafanya kwa uwezo wa Mungu (sio kwa uwezo wake).

Kwa bahati mbaya sana, watu waka amini kwamba yeye (Yesu) ndiye Mungu badala ya kuamini Mungu aliyemtuma. Na hii itawapa binadamu wakati mgumu sana siku za mwisho, Yesu atakapo wakana kuwa yeye sio Mungu na wala sio nafsi ya Mungu, BALI yeye alikuwa ni mjumbe tu aliyetumwa na Mungu kwa kazi maalum sawa na Mussa alivyo tumwa kwa kazi maalum ya kuhamisha wana wa Israel.
SIKU ZA MWISHO ZITAKUWA NGUMU SANA!
 
Majina Mbalimbali ya Mungu

Kwa nini majina tofauti

Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea.

Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule
Ni kama vile, rais fulani aitwe John, lakini huyo huyo anaweza akaitwa baba sehemu fulani, akaitwa mjomba sehemu nyingine, mhandisi kwa watu fulani, amiri jeshi mkuu eneo fulani, babu sehemu nyingine, n.k.

Utaona kuwa vyeo vyote hivyo vimekuja aidha kulingana na wakati, au matukio, au nafasi aliyopo au ujuzi alio nao, n.k. Mtu huitwa kwa majina hayo yote, kwa nyakati tofauti. Ndivyo ilivyo pia kwa Mungu wetu. Alijifunua katika majina mbalimbali. Hebu tutazame majina hayo, japo kwa ufupi.

Mungu ni jina linalotumika kwa anayesadikiwa katika dini kuwa na uhai wa hali ya juu.

Katika somo hili, Mungu anayezungumziwa ni Mungu wa Mbinguni, Muumba mbingu na nchi, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-15).

Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)

Jina Hili la YESU ndilo jina tulilonalo hadi sasa. Kwa kupitia jina Hili ndiyo tunapata wokovu. Kwa jina Hili, ndiyo tunamshinda adui. Kwa jina Hili, ndiyo tunapata baraka, na kwa jina Hili, ndiyo tunaishi.

Hivyo, Mungu ni mmoja tu, lakini ana majina mbalimbali, kulingana na uweza wake, majira fulani yaliyopita, au matukio yaliyotokea katika namna tofauti.

Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake (Dan 2:20).
somo zuri sana hakika, asante sana
 
Majina Mbalimbali ya Mungu

Kwa nini majina tofauti

Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea.

Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule
Ni kama vile, rais fulani aitwe John, lakini huyo huyo anaweza akaitwa baba sehemu fulani, akaitwa mjomba sehemu nyingine, mhandisi kwa watu fulani, amiri jeshi mkuu eneo fulani, babu sehemu nyingine, n.k.

Utaona kuwa vyeo vyote hivyo vimekuja aidha kulingana na wakati, au matukio, au nafasi aliyopo au ujuzi alio nao, n.k. Mtu huitwa kwa majina hayo yote, kwa nyakati tofauti. Ndivyo ilivyo pia kwa Mungu wetu. Alijifunua katika majina mbalimbali. Hebu tutazame majina hayo, japo kwa ufupi.

Mungu ni jina linalotumika kwa anayesadikiwa katika dini kuwa na uhai wa hali ya juu.

Katika somo hili, Mungu anayezungumziwa ni Mungu wa Mbinguni, Muumba mbingu na nchi, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-15).

Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)

Jina Hili la YESU ndilo jina tulilonalo hadi sasa. Kwa kupitia jina Hili ndiyo tunapata wokovu. Kwa jina Hili, ndiyo tunamshinda adui. Kwa jina Hili, ndiyo tunapata baraka, na kwa jina Hili, ndiyo tunaishi.

Hivyo, Mungu ni mmoja tu, lakini ana majina mbalimbali, kulingana na uweza wake, majira fulani yaliyopita, au matukio yaliyotokea katika namna tofauti.

Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake (Dan 2:20).
KWAHIYO WEWE UNAONA HAYO NI MAJINA?

SIJUI MKOJE KUPOTOSHA TU.
 
Mungu alimtuma Yesu kipindi ambacho dunia ilikuwa na changamoto kubwa ya Uchawi; watu waliamini uchawi na Ushirikina na kusahau kabisa uwepo wa Mungu hivyo akaona atume mjumbe na kumpa uwezo wa kufanya zaidi ya wachawi ili watu wajue kuwa, yupo Mungu mmoja tu na mwenye mamlaka yote (na hao wachawi sio lolote kwake).... na hata kuzaliwa kwake, alikufanya kuwe kwa miujiza kwa kusudio hilo hilo.

Mungu akamtuma Yesu huku akimpa uwezo mkubwa kabisa wa kuponesha magonjwa ambayo wachawi hawakuyaweza, kukufufua, kufukuza mapepo nk nk na yote hayo alikuwa akiyafanya kwa uwezo wa Mungu (sio kwa uwezo wake).

Kwa bahati mbaya sana, watu waka amini kwamba yeye (Yesu) ndiye Mungu badala ya kuamini Mungu aliyemtuma. Na hii itawapa binadamu wakati mgumu sana siku za mwisho, Yesu atakapo wakana kuwa yeye sio Mungu na wala sio nafsi ya Mungu, BALI yeye alikuwa ni mjumbe tu aliyetumwa na Mungu kwa kazi maalum sawa na Mussa alivyo tumwa kwa kazi maalum ya kuhamisha wana wa Israel.
SIKU ZA MWISHO ZITAKUWA NGUMU SANA!
Mkuu kitabu cha nabii Isaya 9:6 kinamtaja Yesu kuwa Mungu mwenye nguvu sasa sisi ni nani adi tukatae
 
Majina Mbalimbali ya Mungu

Kwa nini majina tofauti

Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea.

Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule
Ni kama vile, rais fulani aitwe John, lakini huyo huyo anaweza akaitwa baba sehemu fulani, akaitwa mjomba sehemu nyingine, mhandisi kwa watu fulani, amiri jeshi mkuu eneo fulani, babu sehemu nyingine, n.k.

Utaona kuwa vyeo vyote hivyo vimekuja aidha kulingana na wakati, au matukio, au nafasi aliyopo au ujuzi alio nao, n.k. Mtu huitwa kwa majina hayo yote, kwa nyakati tofauti. Ndivyo ilivyo pia kwa Mungu wetu. Alijifunua katika majina mbalimbali. Hebu tutazame majina hayo, japo kwa ufupi.

Mungu ni jina linalotumika kwa anayesadikiwa katika dini kuwa na uhai wa hali ya juu.

Katika somo hili, Mungu anayezungumziwa ni Mungu wa Mbinguni, Muumba mbingu na nchi, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-15).

Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)

Jina Hili la YESU ndilo jina tulilonalo hadi sasa. Kwa kupitia jina Hili ndiyo tunapata wokovu. Kwa jina Hili, ndiyo tunamshinda adui. Kwa jina Hili, ndiyo tunapata baraka, na kwa jina Hili, ndiyo tunaishi.

Hivyo, Mungu ni mmoja tu, lakini ana majina mbalimbali, kulingana na uweza wake, majira fulani yaliyopita, au matukio yaliyotokea katika namna tofauti.

Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake (Dan 2:20).
Chai
 
Mkuu kitabu cha nabii Isaya 9:6 kinamtaja Yesu kuwa Mungu mwenye nguvu sasa sisi ni nani adi tukatae
Huyu Isaya ndiye atawaingiza watu chaka!
Mungu hawezi kuwa kiumbe dhaifu namna hiyo (kinacho zaa/zaliwa, kula, kulala usingizi, kuumwa, nk) huko ni kumdhalilisha utukufu wa Mungu kwa kiwango cha juu kabisa!
 
Majina Mbalimbali ya Mungu

Kwa nini majina tofauti

Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea.

Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule
Ni kama vile, rais fulani aitwe John, lakini huyo huyo anaweza akaitwa baba sehemu fulani, akaitwa mjomba sehemu nyingine, mhandisi kwa watu fulani, amiri jeshi mkuu eneo fulani, babu sehemu nyingine, n.k.

Utaona kuwa vyeo vyote hivyo vimekuja aidha kulingana na wakati, au matukio, au nafasi aliyopo au ujuzi alio nao, n.k. Mtu huitwa kwa majina hayo yote, kwa nyakati tofauti. Ndivyo ilivyo pia kwa Mungu wetu. Alijifunua katika majina mbalimbali. Hebu tutazame majina hayo, japo kwa ufupi.

Mungu ni jina linalotumika kwa anayesadikiwa katika dini kuwa na uhai wa hali ya juu.

Katika somo hili, Mungu anayezungumziwa ni Mungu wa Mbinguni, Muumba mbingu na nchi, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-15).

Majina tofauti ya Mungu (majina yote ni kwa lugha ya Kiebrania)
1. MIMI NIKO AMBAYE NIKO: Mungu afunua jina lake takatifu (Kutoka 3: 13-15)
2. ADONAI: Mungu Mwenye enzi yote, kimbilio imara (Mwanzo 15:2‐8, Kut 6:2‐3)
3. EL-ELYONI: Mungu aliye juu zaidi (Mwanzo14:18, Dan 4:34)
4. ELOHIMU: Mungu mwenye uweza, muumbaji wa milele, mwenye nguvu (Mwanzo 1:1, 17:7, Yeremia 31:33)
5. YEHOVA EL–SHADAI: Mungu Ututoshelezaye (Mwanzo 17:1)
6. YEHOVA EL-OHEENU: Bwana Mungu Wetu (Zaburi 99:5, 8-9)
7. YEHOVA EL-GIBBORI: Mungu Mwenye Nguvu (Isaya 9:6)
8. YEHOVA-MEKADISHKEMU: Bwana atutakasaye (Kutoka 31:13)
9. YEHOVA-NISI: Mungu ni Bendera yetu (Berani ya vita) (Kutoka 17:13-16)
10. YEHOVA OLAMU: Mungu wa milele (Zaburi 90:2)
11. YEHOVA-RAFA: Mungu Atuponyaye (Kutoka 15:26)
12. YEHOVA-ROHI: Bwana ndiye mchungaji wangu (Zab 23:1)
13. YEHOVAH SABAOTHI: Bwana wa Majeshi (1Samweli 1:3)
14. YEHOVA SHALOM: Bwana ni Amani Yangu (Waamuzi 6:23-24)
15. YEHOVA SHAMA: Bwana Yupo Hapa (Ezekiel 48:35)
16. YEHOVA TSIDKEMU: Bwana ni Haki Yetu (Yeremia 23:6)
17. YEHOVA-YIRE: Mungu atupaye (Mwanzo 22:14).
18. YE-SHUA (YESU): Mungu utuokoaye (Mathayo 1:21)

Jina Hili la YESU ndilo jina tulilonalo hadi sasa. Kwa kupitia jina Hili ndiyo tunapata wokovu. Kwa jina Hili, ndiyo tunamshinda adui. Kwa jina Hili, ndiyo tunapata baraka, na kwa jina Hili, ndiyo tunaishi.

Hivyo, Mungu ni mmoja tu, lakini ana majina mbalimbali, kulingana na uweza wake, majira fulani yaliyopita, au matukio yaliyotokea katika namna tofauti.

Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake (Dan 2:20).
 
Mkuu hebu soma na Quran pia imetaja majina ya Mwenyezi Mungu. Usijikite kwenye biblia tu soma na Quran pia.

Hapo kwenye Yesu umeingia shaka, Yesu sio Mungu. Yesu ni mwanadamu ila ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Ukisema Yesu ni Mungu unakuwa umekufuru na ukifa utaenda motoni.
 
Mungu alimtuma Yesu kipindi ambacho dunia ilikuwa na changamoto kubwa ya Uchawi; watu waliamini uchawi na Ushirikina na kusahau kabisa uwepo wa Mungu hivyo akaona atume mjumbe na kumpa uwezo wa kufanya zaidi ya wachawi ili watu wajue kuwa, yupo Mungu mmoja tu na mwenye mamlaka yote (na hao wachawi sio lolote kwake).... na hata kuzaliwa kwake, alikufanya kuwe kwa miujiza kwa kusudio hilo hilo.

Mungu akamtuma Yesu huku akimpa uwezo mkubwa kabisa wa kuponesha magonjwa ambayo wachawi hawakuyaweza, kukufufua, kufukuza mapepo nk nk na yote hayo alikuwa akiyafanya kwa uwezo wa Mungu (sio kwa uwezo wake).

Kwa bahati mbaya sana, watu waka amini kwamba yeye (Yesu) ndiye Mungu badala ya kuamini Mungu aliyemtuma. Na hii itawapa binadamu wakati mgumu sana siku za mwisho, Yesu atakapo wakana kuwa yeye sio Mungu na wala sio nafsi ya Mungu, BALI yeye alikuwa ni mjumbe tu aliyetumwa na Mungu kwa kazi maalum sawa na Mussa alivyo tumwa kwa kazi maalum ya kuhamisha wana wa Israel.
SIKU ZA MWISHO ZITAKUWA NGUMU SANA!
Mpinga Kristo wewe
 
Mungu alimtuma Yesu kipindi ambacho dunia ilikuwa na changamoto kubwa ya Uchawi; watu waliamini uchawi na Ushirikina na kusahau kabisa uwepo wa Mungu hivyo akaona atume mjumbe na kumpa uwezo wa kufanya zaidi ya wachawi ili watu wajue kuwa, yupo Mungu mmoja tu na mwenye mamlaka yote (na hao wachawi sio lolote kwake).... na hata kuzaliwa kwake, alikufanya kuwe kwa miujiza kwa kusudio hilo hilo.

Mungu akamtuma Yesu huku akimpa uwezo mkubwa kabisa wa kuponesha magonjwa ambayo wachawi hawakuyaweza, kukufufua, kufukuza mapepo nk nk na yote hayo alikuwa akiyafanya kwa uwezo wa Mungu (sio kwa uwezo wake).

Kwa bahati mbaya sana, watu waka amini kwamba yeye (Yesu) ndiye Mungu badala ya kuamini Mungu aliyemtuma. Na hii itawapa binadamu wakati mgumu sana siku za mwisho, Yesu atakapo wakana kuwa yeye sio Mungu na wala sio nafsi ya Mungu, BALI yeye alikuwa ni mjumbe tu aliyetumwa na Mungu kwa kazi maalum sawa na Mussa alivyo tumwa kwa kazi maalum ya kuhamisha wana wa Israel.
SIKU ZA MWISHO ZITAKUWA NGUMU SANA!
Unazungumzia Yesu yupi? Tatizo watu hamsomi maandiko lakini mnadhani mnajua kilichoandikwa. Yesu ni Mungu kulingana na Biblia.
 
Back
Top Bottom