Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 986
- 208
- Thread starter
-
- #61
Kindimbajuu hili ni jina la kijiji huko wilaya ya mbinga mbele kidogo ya kijiji kinaitwa Rwanda ukiwa unaelekea direction ya Lituhi. Hivyo inawezekana huyu jamaa anayejiita jina hili anatokea huko.
Nimekuwa najaribu kupitia list ya wanajf, hakika kuna majina ya kuchekesha sanaa kama si kufurahisha. Hivi ulishawahi kujiuliza nini maana ya haya majina? Kwa mfano hebu cheki haya na unipe maana yake:
1.Itetei lya Kitee
2.hadiyanayamboka
3.Yo yo
4.hahanana
5.obhusengwe
6.gangilonga
7.Nesindiso Sir
8.Pakupaku
9.gavskanky
10.
11.
12.
List inaweza kuendelezwa!
13.OmwanaNimekuwa najaribu kupitia list ya wanajf, hakika kuna majina ya kuchekesha sanaa kama si kufurahisha. Hivi ulishawahi kujiuliza nini maana ya haya majina? Kwa mfano hebu cheki haya na unipe maana yake:
1.Itetei lya Kitee
2.hadiyanayamboka
3.Yo yo
4.hahanana
5.obhusengwe
6.gangilonga
7.Nesindiso Sir
8.Pakupaku
9.gavskanky
10.
11.
12.
List inaweza kuendelezwa!
Acha masihara lini uliona mbwa amevaa chupi?Au unamaanisha ni chupi /bikini iliyotokana na ngozi ya mbwa?
Hiyo ni lugha gani??
10. Kyachakiche;
11. Bwabwa
Aksante kwa kutuelimisha mkuu, nimekugogea pia senksi!Gangilonga ni jiwe moja kubwa sana ambalo liko Iringa mjini eneo moja ambalo pia huitwa gangilonga. Enzi za mababu walikuwa wanasema jiwe hilo lilikuwa linaongea hivyo watu walikuwa wanaenda kuabu na kusema shida zao. Binafsi na wenzangu enzi hizo tukiwa pathfinder tulikwea jiwe hilo, juu ni tambarare, lina eneo kubwa kama sikosei watu zaidi ya 200 wanaweza kukaa na pia kuna majina mengi ya watu mbalimbali waliwahi kulikwea jiwe hilo. Vile vile kuna chemichemi nzuri ya maji. nakumbuka tulikwenda na vyakula vyetu vibichi tukavipikia huko juu ya jiwe na kutumia yale maji masafi ya chemichemi kwa kupikia na kunywa.
Kama mpaka sasa uharibifu wa mazingira haujajitokeza eneo hilo lilikuwa ni zuri sana kwa picnic na utalii. Gangi = Jiwe; Longa = sema/ongea. Gangilonga Jiwe lisemalo.