Ulitaka awaze nini......
What if mko kwenye different time zone wakati we ni asubuhi ye ni mchana
Mbona mimi sijayaona, naona kama alama flani ya mipindo
Mbona mimi sijayaona, naona kama alama flani ya mipindo
Kwani yanatia moyo na kubariki pia
kumbe sio peke yangu
Kakutana na mke wa mpangaji mwenzie au mtoto wa mwenye nyumba uani anamtega angalia hata makato ya pichu yanaonekana nyumba hizi zina mitihani sana
kumbe huyu dada ameinama vibaya hivyo
Ni hatari mkuuu. Ngoja tujenge za kwetu tuachane na khabari za kupanga
Wenzio wanaona kainama vyema kabisa.
Taarabu imo humo..
watakuwa ni vipofu wa akili mkuu
umeona taarabu wapi acha umbea
Taarabu imo humo..
Nimeiona kwa jicho la tatu..
Kuna jamaa anajiita Rakism hapa jf kama sikosei anawasaidia watu kuamsha jicho la tatu. Hewenda nawe ukawa mfuasi wake