Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Siku utavaliwa iliyoandikwa... Ndefu Tamu fupi inakera... sijui utajichungulia...
 
Mmmmh mkuu au ulimaanisha tujikumbushe misemo ya kwenye khanga...... Kuna uhalisia kweli??!
 
Ukisusa wenzio wala, MI NDIO NILIKULA SIKU HIYO
 
Kuna jamaa kamnunulia mama mkwe mtarajiwa khanga imeandikwa 'panua paja mkwaju waja'. Uhusiano umikatizwa siku hiyo.
 
hahahaha ila na wewe nimswahili sana kila khanga akiivaa unaisoma umenikumbusha nisome kagha zangu zimeandikwaje maana zinachakaa isijekuta navaa zina matusi
 
Ukweli ni kwamba sipendi na sijawahi kuelewa haya mambo...

Ngoja tuwaachie wenye ngoma zao waserebuke!
 
e7175543a2eb090ce5853a70ef77a22b.jpg
 
Dah nilienda visiwani kikazi. Nikaingia kwenye chumba cha hoteli. Kitandani nikakuta kangha nzuriii, mpya. Rangi ya nyeupe na nyekundu! maneno yake ualikuwa kama ifuatavyo:
' NI KWELI LAKINI HAYAKUHUSU'
 
Back
Top Bottom