Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Na hizo mchina zenu mnawafuata wakinamama mpaka uani mpige picha za kuweka mitandaoni. Hii haijatulia!
 
Sikuhizi yale maneno ya 'mume ni wako akiwa chumbani'
Panua paja mkwaju waja
Shost danga langu niachie

Maneno haya hayauzi jamani, maneno yanayouzika ni kama:
Penzi la mama ni tamu
Kwa bwana kila goti litapigwa
Ninamwamini Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…