Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Kumbe haya mabango ya kwenye bajaji na costa ndio yamehamia kwenye kanga napo!
 
Khanga imekuwa ni vazi linalo patikana kwa wingi kwenye mikoa ya pwani " Vazi ambalo huwa linatumiwa na Wanawake kwaajili ya kujisitiri Na kufikisha jumbe mbali mbali toka kwa mvaaji dhidi ya watu wanaoishi katika jamii inayo mzunguka ..

Jumbe Ambazo zipo kwenye vazi hilo " Huwa saidia waavaji husika kuweza kuwasilisha yale yaliyo jificha Mioyoni mwao" Na kuifanya jamii iweze kutambua Hisia zao "

Leo na waletea khanga hizi chache zilizobeba jumbe mbali mbali .. na Nyinyi mnaweza kuongeza "

View attachment 1037609View attachment 1037610View attachment 1037611View attachment 1037614View attachment 1037616View attachment 1037617View attachment 1037618View attachment 1037619View attachment 1037620View attachment 1037621View attachment 1037622View attachment 1037623View attachment 1037625View attachment 1037626View attachment 1037627View attachment 1037628View attachment 1037629View attachment 1037630View attachment 1037632View attachment 1037633

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ya mpesa naunga mkono % 100

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom