rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,420
mmhhhh na hayo majina ya ali kwa kuomba nyama jikoni nionje nionje
huna point kabisaaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmhhhh na hayo majina ya ali kwa kuomba nyama jikoni nionje nionje
Nyamayao,
jina hili mara nyingi hutolewa na wazazi pale ambapo watoto
waliomtangulia huyu walifariki,na jina hili hutolewa kama ujumbe
kwa wachawi kuwa haya sasa tumewazalia nyama nyingine,na mara
nyingi watoto hawa huwa wanakuwa watu wazima bila ya matatizo
ya kiafya lakini tatizo lao kubwa huwa hawawezi kusema neno hapana
pale anapofuatwa na mwanaume,hivyo husifika sana kwa kugawa uroda.
Majina ya Michael wana tabia ya kuwa Nyota e.g.
Michael Jackson - Music
Michael Jordan - Basketball
Michael Schummacha - Formular 1
Michael Owen - Football
Michael Johson - Athletic
Mike "Iron" Tyson - Boxing.
Jackie kwa wanawake huwaga malaya sana alaf wazuri haswaa
Abuu huwaga malaya sana kwa wanaume..
Majina ya Michael wana tabia ya kuwa Nyota e.g.
Michael Jackson - Music
Michael Jordan - Basketball
Michael Schummacha - Formular 1
Michael Owen - Football
Michael Johson - Athletic
Mike "Iron" Tyson - Boxing.
Tito- vichwa maji
getrude-wapole, mapozi kwa mbali
Salma- Mapepe
Hapo hapana............nina kina jackie kama mia nane hivi wote wametulia
pia kid wangu anitwa jack...............
Yaani ni kweli kabisa kwa kina Jackie ni wazuri kupita kiasi lakini mmmmmmh!