mmmh me ninaowafahamu wana sifa tofauti na hiyo.
Emmanuel mbona wengi waungwana; sijawahi kuckia wakihusishwa na ugomvi au fujo!
Vipi kuhusu Sweetbert,Samson,Walter,Ivan.
ndugu yangu sijui umefanya utafiti wa wapi jaman ...yaani mule muleagness na grace kwa asila jamani ni balaaaaaaaaaaaaaaaaa
very truewatoto wanaoitwa CALVIN ni watundu balaaa asee STEVEN nyuma
kwa kuvuta midomo na kujiona wazuri hata kama wabaya...... Pia upenda kuwatawala wenzake kwa kila jambo.
Andrew-wapole ila wana msimamo na maamuzi yao,hawashauriki
Alex-viherehere,wakorofi na waongeaji! Usibishane nao
Deo-matapeli,waongo na wanafki.Machoni wapole
Richard-wachafu na wanapenda ngono balaa
we umelinganisha na majina ya mabwana zako,ndo una comment ,kafie mbele ukoooooo