Majina na Tabia zake

Mere! wapole halafu mama huruma wanapigwa virungu kimya kimya.
Shida,Taabu,Masumbuko-wana majaribu mengi ada shule ya shida,kula kwa taabu,kutoka kimaisha ni masumbuko tupu.
 
Emmanuel mbona wengi waungwana; sijawahi kuckia wakihusishwa na ugomvi au fujo!


wakorofi,wajuaji,wanajiona hata kama hawana kitu,wanapenda kujisifia na kujipamba kama watoto wa kike, wanapenda kujuana na watu maarufu, wajanjawajanja tu hawafikirii future, wanapenda show off, halafu hawapendi kujishughulisha kazi kujipendekeza kwa kila mtu,hawana hata aibu wala huwa hawafikirii kabla ya kufanya jambo
 
Vipi kuhusu Sweetbert,Samson,Walter,Ivan.

sweetbert ni hasira tupu ila wastaarabu,
samson ni wapole ila korofi
walter ni wapole wacha mungu na malaya na wanywa pombe kisirisiri
ivan vichche hawathamini utu wao wanagawa uroda kama maji,ukiwa na vijisent unampata tena wanapenda sana waume za watu
 
James - Kwa kuberi hawa watu acha tuu
 
hiyo ya Rose ni kweli kabisaaaaa....nawajua watatu
 
Mara nyingi ukisikia binti anaitwa Asha, Mariam, Amina, Airini, Jack
ww relax kaza nati kidogo tu utashangaa inavyoachia kiulaini!
Ila Asha ni machepele/mjuzi/mwongeaji sn/kuchekacheka ovyo. Hao wengine mara nyingi ni wapole na wazuri sn on-bed huwezi amini!
 
Andrew-wapole ila wana msimamo na maamuzi yao,hawashauriki
Alex-viherehere,wakorofi na waongeaji! Usibishane nao
Deo-matapeli,waongo na wanafki.Machoni wapole
Richard-wachafu na wanapenda ngono balaa

we umelinganisha na majina ya mabwana zako,ndo una comment ,kafie mbele ukoooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…