Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,019
Hahahaaa we jamaa umenichekesha[emoji38] [emoji38]MAIGE ni wezi wa twiga
Sio wote wazuri ila wanakuwaga na mizigo hatari, ila kwa wale niliokutana nao tokea niko mtoto mpaka nimekua majority ni malaya wa dhahiri Jackline T,Jackline Mn, Jackline Mv na hata demu wangu wa kwanza kunisaliti alikuwa Jacky!Jackie kwa wanawake huwaga malaya sana alaf wazuri haswaa
Abuu huwaga malaya sana kwa wanaume..
Vipi kuhusu jina
BENI
SAUM
HELENI
MATIASI
GETRUDE
ZULPHA
We ni mshamba typeVipi mie mwenye jina la SENGEREMA MANYANDAMASANGWA tabia zangu....?
Kama kweli vileTEH TEH TEH,
It sound kama walikuwa part of you ukawa experiance,,,,,,,,
Anyway ipo kwenye jokes tu......
Majina ya Jakaya huwa wanapenda sana wanawake
Wana wivu wa kikeVipi kuhusu jina la danny?
No 1 hapana hao n wajeuri mno1.Hellen ni wapole sana na wana hofu ya mungu,wana wivu sana wa mapenzi inshort wengi ni wife materials.
2.Getrude are intelligent, wapo social ila wengi ni mapepe type na wana character za umama huruma at tyms
ACHA UONGO, kama jambo hujui bora unyamaze, kina EMANUEL ni wapole tena wana akili kinoma, nadhani huyo uliemfanyia utaiti ana jina kama lako, amekudanganya,
hao ni male version ya Jackline, ni aina ya wanaume waliobobea katika umalayaVp kuhusu John n wa2 wa dizain gan?
Ngoja uone akikua huyo jinsi utavyofukuzana na wahuni, labda uhamie masaki ndani ndani kidogoafadhali umewambia ukweli.Jackie hawana hizo tabia ambazo wengi wameziainisha.
silent killer huyo, anachepuka kwa akili sana bila we kujua...Wengi wauza maduka na wanachepuka na wateja wao ila kimyakimya sana!Victor je?
Nakataaa, labda ungesema wapole mno na wasio na maneno mengi mdomoni huwa wanaugulia mioyoni hapo ningeafiki. Wanakuwaga victim wa kutendwa na wanaume mara nyingi ila wana upendo na uvumilivu wa ajabu!lilian---------- malaya
Matt wapo real na wasiri sana, ila wanapendaga kimaslahi kama huna dough umpatii ng'oNa wakina Matt?