Majina na Tabia zake

Majina na Tabia zake

Jackie kwa wanawake huwaga malaya sana alaf wazuri haswaa
Abuu huwaga malaya sana kwa wanaume..
Sio wote wazuri ila wanakuwaga na mizigo hatari, ila kwa wale niliokutana nao tokea niko mtoto mpaka nimekua majority ni malaya wa dhahiri Jackline T,Jackline Mn, Jackline Mv na hata demu wangu wa kwanza kunisaliti alikuwa Jacky!
Hivyo hili jina ni kweli lina kashfa hio
 
Vipi kuhusu jina
BENI
SAUM
HELENI
MATIASI
GETRUDE
ZULPHA

1.Hellen ni wapole sana na wana hofu ya mungu,wana wivu sana wa mapenzi inshort wengi ni wife materials.

2.Getrude are intelligent, wapo social ila wengi ni mapepe type na wana character za umama huruma at tyms
 
Sio majina ya watu pekee hata ya mikoa
Mfano maana ya Mara in uchungu cmaanishi ubaili yan ubabe namambobkama hayo na kweli ukiangalia mkoa wa Mara na watu wake duh hatari muraà
 
1.Hellen ni wapole sana na wana hofu ya mungu,wana wivu sana wa mapenzi inshort wengi ni wife materials.

2.Getrude are intelligent, wapo social ila wengi ni mapepe type na wana character za umama huruma at tyms
No 1 hapana hao n wajeuri mno
 
ACHA UONGO, kama jambo hujui bora unyamaze, kina EMANUEL ni wapole tena wana akili kinoma, nadhani huyo uliemfanyia utaiti ana jina kama lako, amekudanganya,

Emmanuel true wakimya sana na wako na akili kama mchwa, kuna mwanangu wa jina hilo very short,black and intelligent tulianza nae DIPLOMA ya IT chuo flani apa nchini alikuwa anatunyoosha na GPA ya 4.6 effortlessly kila semester mpaka tulipomaliza,hadi tukampa nickname "mtu mweusi yani ni kama maji usipokunywa lazma uyaoge", alikuwa anaelewa vitu kirahisi sana hasa programming ambayo ilikuwa inatutoa jasho mpaka mwalimu mwenyewe alipokosea jamaa alikuwa anagundua kirahisi mno ilihali si tunatoka kapa akawa kama ass. lecturer wetu maana dah,kwake kila course ilikuwa kama kumsukuma mlevi inshort jamaa alikuwa genius!

Tulipomaliza ye akaenda mzumbe university anapiga ICT-Mgt cha ajabu kule napo anawakimbiza kwa mwendo uleule GPA ni 4.6 kama dozi ya dawa. Kwa wanaoujua mziki wa ICT-M ya Mzumbe watanielewa vyema.
 
lilian---------- malaya
Nakataaa, labda ungesema wapole mno na wasio na maneno mengi mdomoni huwa wanaugulia mioyoni hapo ningeafiki. Wanakuwaga victim wa kutendwa na wanaume mara nyingi ila wana upendo na uvumilivu wa ajabu!

Likes za Lily ni kina Hellen...
 
Back
Top Bottom