Majina na Tabia zake

kuna wa2 wenye majina ya IRENE ukwel weng wao wanakuwa wazur ila wajinga ile mbaya cjui inakuwaje hapa

ndo walivyo hawa au hata kichwani kukiwa na kitu hawa huwaga wazembe..hawa ndo wanaopoteza kalamu na daftari mara nyingi...
 
Je na haya je:
  • Ukiwaona Ditopile Mzuzuri
  • Kingunge Ngombare Mwiru
  • Mizengo Kayanza Pinda
 
Eliza,wenye majina haya,nnaowafahamu mimi wote ni wakimya wanapenda kuweka mambo moyoni kwa ukimya,na wanatabia ya kujidefend kwa kudanganya
 
Yuda - Waongo
Samson - Wapole
Mateo, Matthew, Mathias - Viwembe
Sarah - ving'ang'anizi
Lameck - Wana adabu sana
Rose - wanajiona
Joshua - Wakarimu, watanashati

Hapo kwenye Bold nakubaliana na wewe 100%
 
mmh i i would like to differ
Just being honest bro..kutokana na nnaowafahamu!Nawajua wa4 na mmoja wao ni kaka yangu!Ila inawezekana kabisa wewe ni tofauti!Don't take it personal!
 
waungwana mno halafu very innocent......... ila wanaudhaifu mmoja....... pls heshima ichukue mkondo jamani kwa atakae comment

Hehehe..ukweli ndo unaochukua mkondo!Alafu mbona udhaifu hujasema?
 
Majina ya Michael wana tabia ya kuwa Nyota e.g.

Michael Jackson - Music

Michael Jordan - Basketball

Michael Schummacha - Formular 1

Michael Owen - Football

Michael Johson - Athletic

Mike "Iron" Tyson - Boxing.
inategeme kuna mike makuli na wauza pipi zaidi ya mashuhuri wachache uwatajao ,huo ushirikina no scientific approach hapo
 
edward huwa nas mwanzo mzuri mwisho mbaya wa kili jambo
 

Kuna jamaa mmoja anaitwa emmanuel...Duh.. anaongea kwa busara, ila ni mtata kuliko maelezo yaania sehemu yenye kuhitaji sheria analeta excuse, sehemu ya kufanya favour yeye ndio anatumia sheria kukutolea nje....
 
Vipi majina kama Rostam, Andrew, Edward, yana maanisha nii, au tabia zao hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…