Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Wazuri...wanajiskia...kwa mabinti huwaambii kitu!wakina Fredy je....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazuri...wanajiskia...kwa mabinti huwaambii kitu!wakina Fredy je....
Asha kwa umbea ni hatari, John kwa kupenda vya bure na wengi ni wafupi.
Grace Neema, wapole kwa sura, pia wacheshi.
Du umegonga ikulu!kina john wanapenda sn slope!afu kweli wafupiiii!hahaAsha kwa umbea ni hatari, John kwa kupenda vya bure na wengi ni wafupi.
Ongezea na kiburi, wanajua kununa hawa! halafu dawa yao msifie tu hata kama mbaya atacheka.
Frank ni wakorofi alafu wana kiburi!Ila wazuri wa sura..kichwani zinapenda so inawafanya wajiskie!Shaban namjua mmoja alikua mchokozi sana!na majina haya je?
frank
kasisi
shaban
tenende
hawa ni wazuri kwa sura wana majivuno.....anaweza kukuangalia utasema umekanyaga nnya au anaweza kukusonya hata kwa nusu saa....
wakina Fredy je....
akina salma kwa kuangalia kwenye maslahi hawajambo. pia ni wanafiki mafarisayo nyuma wanaweza kukusaidia halafu akakutangaza..... au akaanzisha kitu kwa malengo ya kusaidia kumbe hana lake jambo
halafu wengi ni matapeli......
Hamisi, Juma, Muddy - wengi wao ni wezi, vibaka ...
Andrew je?