Majina na Tabia zake

Majina na Tabia zake

robert nesta marley-mwanamziki
robert mugabe-mwanasiasa
robert kelly-mwanamuziki
robert gates-mwanajeshi
robert hook-mfizikia
mbona naona hawa kama hawafanani hivi?
 
na majina haya je?

frank
kasisi
shaban
tenende
Frank ni wakorofi alafu wana kiburi!Ila wazuri wa sura..kichwani zinapenda so inawafanya wajiskie!Shaban namjua mmoja alikua mchokozi sana!
 
akina salma kwa kuangalia kwenye maslahi hawajambo. pia ni wanafiki mafarisayo nyuma wanaweza kukusaidia halafu akakutangaza..... au akaanzisha kitu kwa malengo ya kusaidia kumbe hana lake jambo
halafu wengi ni matapeli......

kina salma hawashauriki. Waking'ang'ania jambo lao ndio hilo hilo.
 
kuna wa2 wenye mjina ya IRENE ukwel weng wao wanakuwa wazur ila wajinga ile mbaya cjui inakuwaje hapa
 
Hamisi, Juma, Muddy - wengi wao ni wezi, vibaka ...

Muddy kweli au mwamedi lakini wenye majina ya Mohammed huwa na mafanikio sana katika maisha

1. Mohammed Al fayed
2. Mohammed Bin Laden
2. Mohammed Dewji
3. Mohammed Al bardei
4. Mohammed Ibrahim ( Mo Ibrahim )
5. Mohammed Al amoud - forbes.com
 
Efraim ( kibonde) - kichwani sifuri
Yusufu ( makamba) - wengi wao wakware, huwa wanapata scandal za kuzalilisha wanawake hasa watoto
 
Back
Top Bottom