Hayati Magufuli nadhani ndiye alikuwa Rais mwenye nicknames nyingi kati ya Marais waliopita
Baadhi ni Jiwe,chuma,malaika,meko,kayafa.......una mengineyo
Je mama ategemee majina yapi?
NB Nicknames zilitumika sana ili kukwepa makosa ya kimtandao ,je kwa sasa itakuwaje
Baadhi ni Jiwe,chuma,malaika,meko,kayafa.......una mengineyo
Je mama ategemee majina yapi?
NB Nicknames zilitumika sana ili kukwepa makosa ya kimtandao ,je kwa sasa itakuwaje