Majina ya ajabu humu jamiiForums

Kisu cha ngaribaaa


Hamna member nae mkubali zaidi Jf km huyu kaka jamani ,,,,sijui ni mbaba au ni mkakaa.....
..I wish Siku moja nikutane nae face to face
 
Kuna mmoja ana vituko sana humu na jina lake ndo usiseme ila ina bonge la wadhifa serikalini mara, ila jina lake linawakilisha ayafanyayo
 

Nanyumpu,shibe kijijini
 
CHIKIRA MTABARI. Later on nikajua ni mtu poa sana kicheko kila post yake.

Jina linawasumbua Mondray na Ray Van Boy, hua wanaandika Chikara
 
Kuna watu majina yao ukilichemsha Ukinywa maji yake unapona(Dawa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…