Majina ya Kijerumani kwa miji ya Tz wakati wa ukoloni

tungetawaliwa na Wajerumani mpaka angalao miaka ya 1990s hivi, tungekuwa mbali sana kimaendeleo ingawa chamoto tungekiona.
 
Bujibuji bana eti "MPOMABIVA!" Tukuyu kuna hotel/Guest inaitwa Langibogi nadhani ilikuwa ya Majeremani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…