GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
Wakuu habari,
Nimejikutanafikiria kwann majina ya vijiji/vitongoji/ mitaa ya mikoa tajwa hapo juu inaazia na herufi "I"?
Kwa mfano mkoa wa
Mbeya una majina haya: Inyara, Iyunga, Ituha, Igazo, Itewe, Igawilo n.k
Iringa: Ilula, Isimani, Idodi, Ifunda n.k
Songwe: Isensanya, Ipapa, Igamba n.k
Je kuna anae jua sababu inaweza kuwa nini?
Nimejikutanafikiria kwann majina ya vijiji/vitongoji/ mitaa ya mikoa tajwa hapo juu inaazia na herufi "I"?
Kwa mfano mkoa wa
Mbeya una majina haya: Inyara, Iyunga, Ituha, Igazo, Itewe, Igawilo n.k
Iringa: Ilula, Isimani, Idodi, Ifunda n.k
Songwe: Isensanya, Ipapa, Igamba n.k
Je kuna anae jua sababu inaweza kuwa nini?