Vyovyote iwavyo hatutaki mtu wa cease fire hil goma either waishe wote au taifa la palestine lipatikane anything kuhusu cease fire loss kwao hawatapata faida yoyote
Alhamdulillah hajafia kitandani alipigania ardhi yake na sasa yuko peponi wengine wataendelea alipoishia
Labda Pepopunda, huyo jamaa alikua katili hatari, kawahi kuamrisha mtu amzike kwa kumfukia ndugu yake kwa kijiko akiwa hai......kmmmk....yani kaburi linachimbwa, ndugu yako anafungwa kamba anatumbukizwa akiwa hai afu unaambiwa mfukie kwa kijiko cha chai....huyo jamaa ni katili balaa
Hahahah naongea hivyo kwakua najua ndicho kitakachotokea najua msimamo wa dini kwa kua tunashare nao dini moja ningekuwa palestine saivi niko viungani na AK
Na huo ukatili wake hajafikia robo ya ukatili wa mazayuni hilo mbona dogo sana
Huwajui mazayuni wewe wanachoma watu wasio na hatia kwenye matenti huo ni ubinadamu?Israel walimtibu kansa ya ubongo wakaokoa uhai wake. Halafu wewe unadai ni makatili. Si wangemuacha afe huko gerezani. Tena wakamkubalia asome kiyunani mpaka akakielewa.
Zero IQ asiikose hiyo Pepo ya uchakataji. Kuwaridhisha bikra 72 inatakiwa uwalale angalau watano Kwa siku hiyo inamaanisha huko Peponi kazi ni Moja tuu kushinda bila nguomimi pepo ya hivyo siitaki. pepo ya wasilamu inavutia kuingia.
Sofa ni sawa tu na kitanda tu cha 2 by 2Alhamdulillah hajafia kitandani
Na maanisha kafa na AK mkononi akipiganaSofa ni sawa tu na kitanda tu cha 2 by 2
Ndio wanachoomba saivi mazayuni atokee kiongozi wa namna hio ila washayatimba.Huenda akatokea mwenye misimamo ya wastani asiyetaka vita akaomba mkataba wa amani
Alhamdulillah hajafia kitandani alipigania ardhi yake na sasa yuko peponi wengine wataendelea alipoishia
Huko wazinzi hawatapenda. Mi nimekuwa muislamu nasubiri 72 mademu wabichi.kitu mnato.na wengine nawachagua kabisa huku duniani. NawahNenda pepo ya mapambio so ndio nzuri
Ndio wanachoomba saivi mazayuni atokee kiongozi wa namna hio ila washayatimba.
Moja ya Quotes za hotuba ya leo ya hamas
We will not surrender, we will win or die... "as a prisoner, a leader and a martyr"
The martyr, the leader, the hero, the mujahid Yahya Sinwar "Abu Ibrahim"
Dah 🤣🤣🤣Unayaandika haya wewe umekalisha tako nyuma ya keyboard haupo uwanja wa vita kamuangalie Sinwar amekufa mdomo wazi
AiseeAlhamdulillah hajafia kitandani alipigania ardhi yake na sasa yuko peponi wengine wataendelea alipoishia
I love it whenever I see this picture he was very aggressive man what a mujaheed, he was frontView attachment 3128798
Kafa akirushia drone fimbo.
Alikuwa panya tu. Kafa kibwege akirushia drone fimbo ....I love it whenever I see this picture he was very aggressive man what a mujaheed, he was front
Hv ndivyo mwisho wa magaidi woote duniani unavokuwaView attachment 3128798
Kafa akirushia drone fimbo.