Majina ya marais wote wa Tanzania yana herufi M

Brother nifanyie mpango wa ile number naona umesahau-- uni offer ya voda
Oooh nilisahau...namba hii 0744 219398 mpigie mwambie unahitaji kuunganishwa university offer utafuata maelekezo mkuu
 
Hakuna pahala nafikiri nimefeli,hoja yangu ni kwamba kuna herufi M katika hayo majina pasipokujali imetokana na nomino ama heshima.
 
Uko sahihi,ila pamoja na hayo hilo jina la heshima limeanzia na M.
Kwahiyo kama kulikuwa na lengo basi limetimia pasipo kujali ni halisi ama la kutengeneza,I mean la heshima.
Bora ungesema herufi "i" maana hiyo "m" umeilazimisha kidogo.[emoji144]
 
Kama ufikiri wetu umeishia hapa basi sisi ni ma shithole
 
Yaani mwalimu umeifanya ni jina la Nyerere? Kama ni hivyo wote walifundisha katika maisha yao kasoro Mkapa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol, never loughed this loud
 
Hahaha utasikia freemason.Lakini na wewe hata neno MWALIMU kweli umeliweka kama jina la raisi? tafuta kazi angalau uwe bize kidogo.
 
Ungeuliza watu kabla ujaleta hii kamba yako humu juu ya hicho kinachoitwa "Mwalimu", sasa uoni kama umeahibika Mzee?
 
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Kwani na hiyo Mwalimu ni moja ya jina la Nyerere? Huo ni utambulisho wa taaluma yake kama ambavyo na Mwinyi na Magufuli wangeweza kuandika maana wote hao ni walimu.
 
Akili ndogo kabisa... Mwalimu sio jina lake ni title tu ya profsnal yake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…